Tuurududishe uafrika wetu kwanza, tamaduni halisi za mwafrika, Kama zitajengeka zinaweza kutuunganisha ktk nyanja nyinginezo za kiuchumi na kisiasa, hapa tutaweza kujenga taifa. Kuunda nchi si jambo gumu hata nguvu inaweza kuunganisha, ila kuifanya nchi liwe taifa, hapa lazima tofauti miongoni mwa wananchi zifinyangwe.Dini kikwazo, we need to go beyond religion
Kenya wamesema watu wote wa kutoka nchi za Afrika wataingia ama bila visa,amakwa visa rahisi za kuombea ukifika.But you can find a tactical approach, non political, but economic and cultural
Muammar Qadaffi alikuwa na wazo zuri, sema akaingiza dini, there is always a way round, hapo ndpo myahudi anapotuacha
TUnahitaji hekalu la ibada asiliaTuurududishe uafrika wetu kwanza, tamaduni halisi za mwafrika, Kama zitajengeka zinaweza kutuunganisha ktk nyanja nyinginezo za kiuchumi na kisiasa, hapa tutaweza kujenga taifa. Kuunda nchi si jambo gumu hata nguvu inaweza kuunganisha, ila kuifanya nchi liwe taifa, hapa lazima tofauti miongoni mwa wananchi zifinyangwe.
Muanze kuhesshimu utu na ibada yenu asiliaThis thread rise spirit in my heart
Utazidi kudhulumiwaHakuna cha kuungana kila mmoja apambane tu kivyake
Nimefuatilia mada zako Al-watan, black mindset must go beyond MONOTHEISTIC PRESCRIPTIONSKenya wamesema watu wote wa kutoka nchi za Afrika wataingia ama bila visa,amakwa visa rahisi za kuombea ukifika.
I saw that somewhere.
Kuna kipindi nilisoma watu wa Afrika tunawekeana ngumu sana kupeana visa wakati wakija wazungu mara moja wanapata.
More African countries opened up to African travelers in 2017
Noo tamaduni za kiafrika na dini ni za kipbavu sana. Bora nueendelee na ukristo wanguMuanze kuhesshimu utu na ibada yenu asilia
Sisi ni kama mafimbo. Peke yangu, ninapasuka rahisi. Pamoja, nguvu zetu zinaongezana, kwa hiyo hatupasuki.Hakuna cha kuungana kila mmoja apambane tu kivyake
hahahaa kweli aise pamoja na nkurunziza..Kagame na Museven hawatokubali kukaa bila kuongoza..
Sisi ni kama mafimbo. Peke yangu, ninapasuka rahisi. Pamoja, nguvu zetu zinaongezana, kwa hiyo hatupasuki.
We. Follow up Qadaffi dream, correct his tactical mistakesIli kuingua Africa ni sharti namba moja kuunga Uchumi wa Africa, jambo ambalo likikua lifanywe na Gadaffi wa Libya , kipaumbele chake kilikua ni kutengeneza pesa Moja ya africa yenye nguvu zaidi, Wazungu waliona Nongwa wakafanya yao. Basi tena, tunaexpect kizazi chake labda kikipata Fursa ya kutawala Libya huwenda wakaja na idea ya mzee wao.
AU ni Useless katika kuijenga Africa moja .
Uwe na imani nduguwaafrika niwanafiki sana mkuu hatuwezi kuungana ata iweje .. east africa yenyewe wanashindwa kujiunga itakuwa afrika yote ....
Hizo unazoona za kiistarabu ziliundwa pia,pili Imani yako wewe huijui, likifunguliwa hekalu utafundishwa, Imani yako Ni kongwe kuliko uislamu na ukiristo, sio kila ukisikia ibada asilia,unafikiria mambo ya kishirikinaNoo tamaduni za kiafrika na dini ni za kipbavu sana. Bora nueendelee na ukristo wangu
Hizo unazoona za kiistarabu ziliundwa pia,pili Imani yako wewe huijui, likifunguliwa hekalu utafundishwa, Imani yako Ni kongwe kuliko uislamu na ukiristo, sio kila ukisikia ibada asilia,unafikiria mambo ya kishirikina
Utapewa mwaliko ufike hekaluni, utajifunza yoteHebu nielezee kidogo kuhusu hiyo ibada asilia ya kiafrika, mm nachojua ibada ya waafrika ilikua kuabudu milima, miti, matambiko na kafara mbalimbali, miiko ya kijinga kama kuua mapacha, arubino, Etc.
Hebu nielezee kuhusu hiyo dini asilia mama..
In essence sisi Ni ndugu Moja,one blood oneDini kikwazo, we need to go beyond religion
Haya nasubirUtapewa mwaliko ufike hekaluni, utajifunza yote