Hivi kwa nini wapemba ni wachafu sana?

Hivi kwa nini wapemba ni wachafu sana?

Ungetakiwa useme huyu mpangaji mwenzangu ni mchafu....na sio kutaja jamii nzima na watu wote wa jamii hiyo ni wachafu kwa mfano wa mtu mmoja uliyepanga naye......

Unawakosea heshima wapemba otherwise Una jambo lingine ovu dhidi yao
 
Kwa nini unawasema wapemba,ilhali wewe unaogopa kutaja kabila lako kyanyangwe aka kyagata
Baba wa Taifa Mwl. Nyerere aliwai sema,..."ukianza dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu huwezi kuacha...."
Maanake ni kwamba ukianza kuwasema Wapemba ni wachafu basi utakuta hata wewe ni mchafu, babako, mamako na kila mtu ni mchafu.
Swala usafi au uchafu ni swala binafsi. Mimi nimekaa ba Wapemba tena swala 5 ni wasafi kupitiliza.
 
Mbona kila mtu anatembea na mavi yake tumboni na husemi? Ingekuwa wewe unapoingia chooni unaacha mdomo nje nadhani ungepata jibu!
 
Kila mtu ni mchafu kwa kiwango chake.. tusinyoosheane vidole. Ila wamasai kuweni na utaratibu wa kujenga vyoo.
 
Back
Top Bottom