Hivi kwa nini wafanyakazi wengi wa halmashauri hawana uweledi?

Hivi kwa nini wafanyakazi wengi wa halmashauri hawana uweledi?

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
8,102
Reaction score
23,690
Nimepata nafasi ya kutembelea halmashauri mbalimbali hapa Tanzania nilichogundua watumishi wengi ni vilaza sana kwenye utendaji.

Yaani idara zote za halmashauri unakuta watumishi hawana weledi katika kazi ufanisi ni zero kabisa.

Nafikiri ifikie pahala serikali iangalie kwa kina vigezo vya mtu kuajiriwa kama mfanyakazi wa halmashauri kuna madudu mengi sana.
 
Mkuu umekosea sana. Huko Halmashauri ndiko kuna watu wenye uwezo, walipata bila vimemo isipokuwa hawa Godfathers wa kuwapeleka BOT, TPA nk.
Mazingira wanayofanyia kazi ikiwemo kukosa mafunzo ya Umahiri kazini, kuishi na Wanavijiji, kuongozwa na Madiwani wanaojua kusoma na kuandika, kukosa exposure na Ushindani kumewafanya waduamae. Lkn vichwani Halmashauri kuna Dhahabu ambazo zimekosa tanuru la kuzichoma zing'ae japo vilaza wapo lkn siyo kwa kiwango hicho.

Vilaza wapo taasisi kubwa kubwa ambazo hijawahi skia interview wala tangazo la kazi na wana wamejazana jiulize wametoka wapi
 
Mkuu umekosea sana. Huko Halmashauri ndiko kuna watu wenye uwezo, walipata bila vimemo isipokuwa hawa Godfathers wa kuwapeleka BOT, TPA nk.
Mazingira wanayofanyia kazi ikiwemo kukosa mafunzo ya Umahiri kazini, kuishi na Wanavijiji, kuongozwa na Madiwani wanaojua kusoma na kuandika, kukosa exposure na Ushindani kumewafanya waduamae. Lkn vichwani Halmashauri kuna Dhahabu ambazo zimekosa tanuru la kuzichoma zing'ae japo vilaza wapo lkn siyo kwa kiwango hicho.

Vilaza wapo taasisi kubwa kubwa ambazo hijawahi skia interview wala tangazo la kazi na wana wamejazana jiulize wametoka wapi
Mkuu umetembelea halmashauri au unaongea tu?

Kuna jambo ilikuwa I.T wa halmashauri anifanyie hajui na bado ananiomba hela ya bando
 
Nimetembelea halmashauri mbalimbali hapa Tanzania nilichogundua watumishi wengi ni vilaza sana kwenye utendaji.

Yaani idara zote za halmashauri unakuta watumishi hawana weledi katika kazi ufanisi ni zero kabisa.

Nafikiri ifikie pahala serikali iangalie kwa kina vigezo vya mtu kuajiriwa kama mfanyakazi wa halmashauri kuna madudu mengi sana.
Wanauelewa sana,sema hawana uharaka kama vile wako likizo!
 
Mkuu umekosea sana. Huko Halmashauri ndiko kuna watu wenye uwezo, walipata bila vimemo isipokuwa hawa Godfathers wa kuwapeleka BOT, TPA nk.
Mazingira wanayofanyia kazi ikiwemo kukosa mafunzo ya Umahiri kazini, kuishi na Wanavijiji, kuongozwa na Madiwani wanaojua kusoma na kuandika, kukosa exposure na Ushindani kumewafanya waduamae. Lkn vichwani Halmashauri kuna Dhahabu ambazo zimekosa tanuru la kuzichoma zing'ae japo vilaza wapo lkn siyo kwa kiwango hicho.

Vilaza wapo taasisi kubwa kubwa ambazo hijawahi skia interview wala tangazo la kazi na wana wamejazana jiulize wametoka wapi
Uzi uishie hapa
 
... za hao wafanyakazi wengi vilaza wa Halmashauri. Si unajua tena uzi bila ya picha haunogi!
Picha sina ila nimefanya nao kazi wengi uweledi ni mdogo sana.

Nilikuwa wilaya fulani mkoa wa nyanda za juu kusini

Kuna mradi wa kujenga uwanja wa mpira wa miguu. Engineer hata kufanya leveling hajui
 
Nimetembelea halmashauri mbalimbali hapa Tanzania nilichogundua watumishi wengi ni vilaza sana kwenye utendaji.

Yaani idara zote za halmashauri unakuta watumishi hawana weledi katika kazi ufanisi ni zero kabisa.

Nafikiri ifikie pahala serikali iangalie kwa kina vigezo vya mtu kuajiriwa kama mfanyakazi wa halmashauri kuna madudu mengi sana.
Wengi elimu zao ni OPEN UNIVERSITY ni wajinga mno ukitaka kujua wafanyakazi wa Halmashauri wanapishana padogo sana na Policcm nenda vijijini.
 
Picha sina ila nimefanya nao kazi wengi uweledi ni mdogo sana.

Nilikuwa wilaya fulani mkoa wa nyanda za juu kusini

Kuna mradi wa kujenga uwanja wa mpira wa miguu. Engineer hata kufanya leveling hajui
Kuna injinia mmoja halmashauri aliplan kuweka mzani wa kuhakiki kwenye mwinuko,nikamuuliza Ili kupata barabara ya gari kupima inabidi levo ya barabara ipite juu ya paa za nyumba,alibaki anashangaa mpaka mradi ulifia hapo na hasara ya manondo kibao, shikamoo watumishi wa halmashauri
 
Back
Top Bottom