Hivi kwa hili jua la Dar es Salaam ila watu wanajazana kwenda kukaangwa na sera za uongo za CCM

Hivi kwa hili jua la Dar es Salaam ila watu wanajazana kwenda kukaangwa na sera za uongo za CCM

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Hivi kwa hili jua la Dar es Salaam ila watu wanajazana kwenda kukaangwa na sera za uongo

Kweli Dar watu hawana kazi, haya nendeni
hapa ni kama naskia ule wimbo wa kekundu wajinga ndiyo waliwao

1756370588776.png





 
Ila wangekuwa chadema ungeona ni sawa 😂

Anyway, kila chama kina wafia chama ambao ni wendawazimu
 
Tuliosoma psychology unagundua tu watu hawana furaha ila watafanyaje sasa!! Kipi bora ushinde nyumbani bila kazi huku unapiga miayo au uende huko ukapoteze muda na uwaangalie wasanii uchwara na hapo unapewa na tambala la ccm.Option rahisi ni kwenda huko ukapoteze muda😁
 
Nchi ina wajinga wengi, hata ww ukianzisha kanisa leo kuna bata watajaa tu.
 
Nchi ina wajinga wengi, hata ww ukianzisha kanisa leo kuna bata watajaa tu.
Mkuu wananchi wengine wametolewa Zanzibar wamelipiwa nauli za boat za kwenda na kurudi, nchi hii ni tajiri
 
Back
Top Bottom