Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,683
- 4,308
Mlioko kwenye ndoa mtuambie faida ya kuoa na wanawake kwanini mnapenda sana muolewe au ndo huwa mnatafuta pa kuponea?????
Mwambie natafuta mke. Kama anachura apige like moja nimfuate inbox..Mkuu unawaonea wivu?
Kama mama ake ni msimbe atatoa wapi baba? Maana swali lake linaelezea uhalisia wa mtoa madaMuulize baba yako
Tukuoe ili ujioneeeMlioko kwenye ndoa mtuambie faida ya kuoa na wanawake kwanini mnapenda sana muolewe au ndo huwa mnatafuta pa kuponea?????