Kama haipati maumivu basi Mimosa pudica isingekuwa ina kunja matawi inapoguswaMnisamehe na swali langu hilo wadau, lakini naomba tu mnijulishe au mnikumbushe!
Ahsante.
Uko sahihiMnisamehe na swali langu hilo wadau, lakini naomba tu mnijulishe au mnikumbushe!
Ahsante.
agreedSimple huwez sikia maumivu bila kuwa ubungo...mimi haina ubungo.....viumbe vyote vina ubungo wa kutafiri hayo maumivi ubongo....
Mimea haina nervous system yeyote yaani mfumo wa kuhisi na kutafsir taarifa mbali mbali katika mwili wa mnyama au mdudu
So bila kupoteza muda mimea haiskiii maumivi pia kuna baadhi viumbe pia havisikiii maumivu....
Mauniivu yapo maana ina uhai mingine hutengeneza miiba washawasha harufu mbaya sumu nkKama haipati maumivu basi Mimisa pudica isingekuwa ina kunja matawi inapokuguswa
Kuna ushahidi kuwa inapata maumivu.Mnisamehe na swali langu hilo wadau, lakini naomba tu mnijulishe au mnikumbushe!
Ahsante.
Naama, umenena vyema. Viumbe hai vina sifa ya ku senseMauniivu yapo maana ina uhai mingine hutengeneza miiba washawasha harufu mbaya sumu nk
Kwenye kundi la mimea jamii moja huwasiliana na kute geneza kemikali mbaya ili kumzuia mvamizi asiendelee kutumia ....ni tunda pekee mmea huruhusu matumizi kwa kiumbe chochote kutumia pindi linapo kuwa limeiva tu
Porini na kwenye misitu Minene kama Congo Gabon na Cameroon kuna mambo ya kutisha na kustaajabisha kuhusu mimea....ukifika kwenye hayo mapori na misitu kaa kwanza na Wazee wakupe za ndanindani vinginevyo YATAKUKUTA
Zemani From Royal Botanical Garden Edinburgh _ Kivu Mashariki
Swali fikirishi kwanini ukiikata inatoa sauti je hiyo ni ishara ya kulia?Mnisamehe na swali langu hilo wadau, lakini naomba tu mnijulishe au mnikumbushe!
Ahsante.
Sawa mkuu sitakula you're so funny😄usisahau ulichonipromise”” usile nyama leo”
Ushawai ona mmea unaugusa ghafla una sinyaa na baada ya muda huchanua tena.unajua maua marufu kama maua saa 6.hapo kwenye kuhisi mimei inahisi.Simple huwez sikia maumivu bila kuwa ubungo...mimi haina ubungo.....viumbe vyote vina ubungo wa kutafiri hayo maumivi ubongo....
Mimea haina nervous system yeyote yaani mfumo wa kuhisi na kutafsir taarifa mbali mbali katika mwili wa mnyama au mdudu
So bila kupoteza muda mimea haiskiii maumivi pia kuna baadhi viumbe pia havisikiii maumivu....