mzalendowaukwel
Member
- May 15, 2011
- 13
- 4
pete ina umuhimu wake, kama umeoa au kuolewa kwa bila shinikizo huwezi kuogopa kuivaa hata mara moja. ila kam umeolewa/oa kwa push ya watu wengine then u will feel ashamed kuwa nayo mkononi.
Pete ni ishara ya upendo kwa mwenzio
hata kama ni ya wazungu, alilivaa la nini mbele za watu tena kwa mbwembwe afu saa hivi ajidai halitaki?
Kwa nini hakusema hataki from day 1?
Ukishaingingia kwenye 'cult' yeyete ukakubali katiba inayoongoza cult hiyo then vifungu vyote vya katiba hiyo vinakuhusu.
Huwezi kusema eti kifungu 2.1.a ni cha kihindi mie myunani, ndoa za sasa wizi mtupu
mh! Mimi nilikuwa nampenda mke wangu kizamani (kwa matendo.) kumbe siku hizi upendo huonyeshwa kwa ishara? Aksante kwa kuni-up date.
Pete ni ishara ya upendo kwa mwenzio
Pokea pete hii, iwe ishara ya upendo na uaminifu wangu kwako....