Comrade21
JF-Expert Member
- Apr 27, 2023
- 386
- 557
Habari zenu, ni matumain yangu kwamba wote wazima humu.
Nimekuwa na maswali mengi sana katika haya maisha, ila yote huwa napata suluhisho.
Ila katika hili ndio bado sijapata sululisho sahihi, maana siku hizi ukiingia tu kwenye dating hii kitu lazima watu wapitie yaani (kusex).
Sasa mimi kwa upande wangu sijapata jibu ya kwamba kufanya sex kabla ya kuoana nayo ni moja ya sehemu ya hatua kabla ya kuingia kwenye mahusiano yale kamili yaani mume na mke?
Hapo wakuu kwa upande wenu nyie mnaionaje, maana mimi bado nashindwa kabisa kupata jibu sahihi.
Nimekuwa na maswali mengi sana katika haya maisha, ila yote huwa napata suluhisho.
Ila katika hili ndio bado sijapata sululisho sahihi, maana siku hizi ukiingia tu kwenye dating hii kitu lazima watu wapitie yaani (kusex).
Sasa mimi kwa upande wangu sijapata jibu ya kwamba kufanya sex kabla ya kuoana nayo ni moja ya sehemu ya hatua kabla ya kuingia kwenye mahusiano yale kamili yaani mume na mke?
Hapo wakuu kwa upande wenu nyie mnaionaje, maana mimi bado nashindwa kabisa kupata jibu sahihi.