Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Shida hawa Diaspora wamepewa majina makubwa!!.. Huwezi kuishi na kufanya Kazi US Kwa 5 years alafu ukaja hapa ukafungua Duka la Nguo au la Vyombo vya Ndani au VitengeHii mada ina ukweli lakini inategemea zaidi na Mindset na jinsi ya kusimamia malengo kwa Diaspora husika. Kinachowaponza wengi ni sifa na kufuata Mkumbo.
Ila still wapo wengi ninaowajua waliofanikiwa vizuri.
HahahahaShida hawa Diaspora wamepewa majina makubwa!!.. Huwezi kuishi na kufanya Kazi US Kwa 5 years alafu ukaja hapa ukafungua Duka la Nguo au la Vyombo vya Ndani au VitengeEti umeishi ulaya for 10 years umerudi hapa umefungua Bar huko Mpiji magoeAu ulikua UAE for 7 years unaenda kulima Tikiti Kigamboni au kufunga Kuku 150 wanyama!!..
Kwahiyo Ruge ndio kabadilisha Maisha ya Family ya ProfWapo pia waliorudi na mafanikio kibao na wamebadili hali za familia zao R.I.P Ruge
Katika kilimo hakuna Diaspora (6) Katika Elimu (5) katika Hospitality (6) katika viwanda (4) Afya (6) Madini (5) Usafirishaji (6) hapa Kwa 6 ndio highest tena hizi ni za upendeleo
Hahahaha
everything has to grow. watu wengi ukimbilia kuanza gia kubwa ikiwa hata hawana wateja. doze doze.Shida hawa Diaspora wamepewa majina makubwa!!.. Huwezi kuishi na kufanya Kazi US Kwa 5 years alafu ukaja hapa ukafungua Duka la Nguo au la Vyombo vya Ndani au VitengeEti umeishi ulaya for 10 years umerudi hapa umefungua Bar huko Mpiji magoeAu ulikua UAE for 7 years unaenda kulima Tikiti Kigamboni au kufunga Kuku 150 wanyama!!..
Utakuwa ni mtoto au ndugu wa mmiliki wa FK Schools. Kuna yule ndugu yako Yona Fares Maro alijiua miaka 2-3 iliyopita, baba yake ndiyo mmiliki wa FK Schools..Matola ukienda Kwa wamiliki wa Shule binafsi majina Yao utaona na kazi wanazofanya kwaajili ya kwendesha shule!!!...Ukija kwenye Kada ya Afya hivyo hivyo Ndugu yangu!!.. Kwenye Usafirishaji ni hivyo hivyo na bahati mbaya sana kwenye biashara hakuna Siri Ndugu yangu!!...Tuna makundi ya waliosoma na kufanya Kazi nnje ya Nchi Matola!!..Unajua wamefanya niniMatola Ndugu yako akikutumia 100000 ya Kula baada ya miezi miwili hii ni sawa na shillings ngapi za TanzaniaMatola hizi Mada ni Nzito na inataka tafukuri kubwa!!..Matola kwani huko ulaya na Marekani hakuna Omba omba kama Dar es salaam?!!..Au tofauti ni Rangi?!..Huko hakuna walala Njee kama Kariakoo!!!..
Wanaogea maji ya visima yaliyochanganyika mavi unategemea wasiwe na roho mbayaTuliza husda pimbi wewe, umeishi wapi zaidi ya buza kwa mpalange.?? chuki yako kwa wa ughaibuni itakumaliza endelea kula viporo huko kenge wewe. umekuja JF kumalizia wivu wako na husda, ukifeli maisha bongo usitegemee utatusua ughaibuni !!! maisha ni yale yale hakuna sehemu pesa ziko juu ya mti unachuma kama machungwa...kazi kazi tu nyanokoo!
Kuna mtu anadhani kwasababu Una shiriki mijadala basi wote sisi ni Sawa,Una baki Una wacheka TuUtakuwa ni mtoto au ndugu wa mmiliki wa FK Schools. Kuna yule ndugu yako Yona Fares Maro alijiua miaka 2-3 iliyopita, baba yake ndiyo mmiliki wa FK Schools..
ππππππUmemsahau le mutuz miaka 30 Ulaya na Marekani karudi anaishi kwa baba yake
Wewe ndo uliepataga mchumba kwenye basi la mkoani...ππππ?Joanah.
Hizi taarifa mbona zipo miaka nenda rudi. Remittance last year 2022 ilikuwa USD 520m give or take.Diaspora ni watu wanatakiwa kuheshimiwa sn sn sn hapa TZ kwa sasa , sababu kwasasa inaweza kuwa nguzo moja wapo ya UCHUMI wa TANZANIA BOT inatakiwa iweke wazi na publish remittance zilizoingia kwa mwaka kutoka DIASPORA inaweza zidi pato lote serikali lililopata kutoka kwenye TANZANITE au DIAMONDS kwa mwaka.
Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
Naweza pata kazi za box bila kukijua Kijerumani? Mkuu Snoop DoggNipo Frankfurt Ujerumani mwaka wa nne na kama kuna mtu anataka Kuja mbele kutafuta life namwambia aje walioshindwa maisha hawajawahi kukosekana sehemu yoyote ile.
Badilisha circle yako ya diasporas if you can, 100% ya circle yangu ipo vizuri sana.99% ni njaa Kali mkuu ndio nawafahamu na wamepauka kwerikweri in Magufuli voice
Wale wanakua walishaoa uko nje.Mimi diaspora nilokutana nao kwakweli wanavutia kila idara,yaani unatamani huyu angekuwa mme wako.
Yaani hao wawili nilokutana nao wacha wee sijui magari ya maana ni wao, sijui nyumba nzuri, ni wao, kwakweli siwezi wataja hapa ila mlipo silute kwenu.
Diaspora nyote ntaoaga mbinguni huku duniani hakuna wake zenu.
TATIZO WALILO NALO..........NI KUOA
diaspora popote mlipo aliyewaroga dawa aliwawekea mapenzini ili msioe. Poleni sana.
Alienda kufanya nn?tuanzie hapoNa sisi tuna brother wetu amekaa nje miaka 4, yeye alirudi na begi la nguo tu baada ya kutumiwa nauli.
Saivi yupo yupo tu hana mbele wala nyuma!
Sijui huko ulaya kuna nini yaani?
Makaratasi yanawafungaWale wanakua walishaoa uko nje.