google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,629
- 13,694
Kama ni hivyo basi hata kulima tu ni kubet maana unapanda ukitegemea mvua ya Mungu mara inakuja nyingi, ndogo au hakuna kabisa na kazi yooote uliyofanya inakuwa bureee na hasara juu.
Yaani haipo lakin labda waulize wajenz huruhamna duniani kote
Mbona hii nayo ni betting pia...ukikuta watu wengi wameleta mahindi kama wewe utayauza kwa 10000 hivyo hiyo?Biashara unajua kabisa nachukua mahindi Mbeya kwa 6000 debe naenda kuuza dar 10000 debe. Unapiga gharama ya usafiri unajua na faida yako. Kwenye Hisa unabet kuwa labda jinsi uchumi unavyoenda basi hisa za FB zitapanda. Unanunua ili uuze kwa faida, ila huna hakika. Kwenye Fx unaangalia uchumi wa nchi na matukio kucheki kupanda na kushuka kwa pesa unaenda na hizo taarifa kufanya business ila huna hakika itapanda kiasi gani au itakuwaje na inaweza isiwe hivyo kabisa.
Hata kwenye kubet mpira watu wanacheki vikosi, nani yuko nyumbani, majeruhi, umuhimu wa game, nani anajua kujilinda, nani anafunga sana nk. kisha anatumia hizo taarifa kuweka mkeka. hizi mambo zinafanana sana. Tofauti na mtu anayenunua mashati China na kuja kuuza Bongo. Anajua kabisa ataauza kiasi gani na atapata faida kiasi gani. Ukienda na hela ndogo anakwambia hailipi.
Kauze matembere na sijui umelogin kivipi
Hata Betting unahitaji kuisoma vizuri na kuielewahahaha forex sio betting..nu trade inatakiwa uwe na uelewa na usome vizur uielewe