Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Hizi biashara zote zinategemea zaidi bahati. Japo zinatofautiana kwenye kiwango cha kutegemea bahati. Zote hizi mtu anaweza kwa kiasi akatumia uchanganuzi na kuamua afanyaje biashara.
Zimetofautiana zingine zina risk kubwq kuliko nyingine.
Mi kwa maoni yangu kubet, kununua hisa na biashara ya forex viko sawasawa. Nyie wakuu mnaonaje?
Zimetofautiana zingine zina risk kubwq kuliko nyingine.
Mi kwa maoni yangu kubet, kununua hisa na biashara ya forex viko sawasawa. Nyie wakuu mnaonaje?