Hivi kuna Mzazi anayeamini anamsomesha mtoto wake Ili aje aajiriwe Serikalini?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,137
Nauliza tu maana fikra za wazazi zinatofautiana

Yaani kabisa unamwaminisha mwanao akimaliza Chuo Kikuu atapata Ajira Serikalini?

I wish you a Merry Christmas 😀
 
Kutaka kujua mwenye akili timamu na asiye nazo, ni vigumu sana. Ingependeza kwanza mtu akajiuliza mwenyewe jee ana akili timamu, kabla hajatupa swali au kuwauliza waru wa SCAN akili zao.

Unapomsomesha mwanao unataka apate elimu ile awe mtu wa busara na aweza kujijenga kimaisha, au una malengo apate Ajira tuu na hiyo ajira lazima iwe pahali fulani.

Mimi napenda wanangu wawe na elimu nzuri, wawe binadamu wakuishi na wenzao vizuri, wawe wabunifu wenye jitihada na waaminifu, wawe watu wenye utu na msaada kwa Jamie.
 
Back
Top Bottom