Nikiona jinsi watu wote wake kwa waume wanavyochepuka nashindwa kuelewa maana ya ndoa.
Kuna sehemu niliwahi kuishi, palikuwa na cross multiplication.....yaani mke wa A anagongwa na mume wa B halafu A wanagongana na B na kila mtu alijua[nikajiuliza kwanini wasibadilishane ndoa?]
Kwa mwanaume kuchepuka haimaanishi hana ndoa au mahusiano mazuri, ni kwamba alipatwa na genye then akapata sehemu ya kuzidump.....ni sawa na ku wank tu. Kwa mwanaume ngono na mapenzi ni vitu viwili tofauti, ME anaweza kumgegeda mwanamke asiyempenda.
Kwa mwanamke ngono ni hatua baada ya mapenzi, hakuna tofauti. Mwanamke kufanya ngono na ME, ujue amevuka vikwazo vingi pamoja na kumpenda. Tofauti na ME, KE hawezi kufanya mapenzi na mtu asiyempenda[kuna exceptional ndogo].
Ukiona mwanamke anachepuka ujue ndoa yake ina matatizo.
Ukimfumania mumeo halafu akakwambia anakupenda kuliko mchepuko wake, jua kuna uwezekano mkubwa akawa ni mkweli............Lakini ukimfumania mkeo jua alishakutoa moyoni.