God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,068
- Thread starter
- #121
Ana tatizo gani shemeji yetu?wengine hawabanduliwi /hawachepuki,,,,,i.e..viwete...na wanaojiheshimu kama demu wangu..
Ana tatizo gani shemeji yetu?wengine hawabanduliwi /hawachepuki,,,,,i.e..viwete...na wanaojiheshimu kama demu wangu..
Wanume muachage sofa za kijinga, ajuae kuwa anapigwa miti ya uhakika ni mwanamke pekee, hayo ya kwenda kujisifia upuuzi tena eti mume wa mtu ni ujinga na upumbavu.
nipo ntaenda wapiUpo we mwanamke
Vipi ukishamtibu mmeo akapona halafu akachepuka na beki tatu au rafiki yako sijui utajisikiaje, nahisi utatumia kona ya meza kumaliza nyege zoteUkijua mwili wako ni wa nani,wala huwezi kusumbuka kufikiria hayo ya nynge unayoyasema ikiwa mumeo/mkeo yupo katika hali ya kushindwa kufanya hilo tendon, akili yote utaihamishia katika kum support na kumvusha katika hali ngumu anayopitia
Kutumia kona ya meza ni akili ya ki sekondari,kwa watu wazima kama sisi ni ajabu kumalizia matatizo yako ktk vitu kama hivyo,ukweli ni hivi si kwamba mume wangu hachepuki (ni nadra kukutana na mwanaume wa hivyo kwa kizazi kilichopo) ila kikubwa ananiheshimu anaheshimu familia na kuijali,beki 3 sina nina mtoto wa marehemu shangazi yake tunamsomesha ufundi cherehani jioni ndie anayetisaidia kaziVipi ukishamtibu mmeo akapona halafu akachepuka na beki tatu au rafiki yako sijui utajisikiaje, nahisi utatumia kona ya meza kumaliza nyege zote