Hivi kuna mwanamke asiechepuka kabisa?

Hivi kuna mwanamke asiechepuka kabisa?

wengine hawabanduliwi /hawachepuki,,,,,i.e..viwete...na wanaojiheshimu kama demu wangu..
 
ulikua unapunguzaje genye?? au matatizo ya kumtibyu mumeo yalikuwekea ubize+huzuni?
Ukijua mwili wako ni wa nani,wala huwezi kusumbuka kufikiria hayo ya nynge unayoyasema ikiwa mumeo/mkeo yupo katika hali ya kushindwa kufanya hilo tendon, akili yote utaihamishia katika kum support na kumvusha katika hali ngumu anayopitia
 
Supersub alikuwa nani?
A)ndizi
B)tango
C)kona ya meza
D)vidole
E)all of Above
Kufanya tendo ni fikra na hisia, fikra zangu zilikua ni kumuinua mwenzangu toka katika ugonjwa na kurejea katika hali yake ya kawaida tuliyoizoea, hayo uliyoyataja nilikua namchanganyia kwenye chakula ili kuimarisa Afya yake na kukuza hisia zetu za mapenzi wote wawili
 
we unaishi uwanja wa fisi, unakutana na malaya wenzio wa uwanja wa fisi mnabanduana as if hakuna Mungu unatuletea na thread kabisa za kipepo, hebu ushindwe
 
Wewe kwanza sio mzuri hiyo piacha kama ni ya kwako basi ni haki yako maana kunawanawake warembo bana kila sekunde wanasumbuliwa na wanaume wawapo maeneo hayo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mbona mapovu yanawatoka kumshambulia jamaa aliyetoa ushuhuda wa wanawake kuchepuka? Aliyosema ni kweli....wewe Kama umeoa mwanamke basi ujuwe umeoa x girl wa MTU...so ukiwa mbali...au hata Kama upo hapo hapo..KUGEGEDEWA ni lazima....huo ndy ukweli...pia wanawake wanachepuka kwa sababu mbili...au Tatu...KUKINAI PENZI LA MUMEWE...KUTO FIKA KILELENI....TAMAA ZA PESA AU VITU VIZURI.....so jipimeni hapo MAPOVU YASIWATOKE BURE
 
Na huyo mke wa mtu mmewe anaeendesha malori ulimpachika na mimba mkaflash Mungu anawaona.
 
Ukijua mwili wako ni wa nani,wala huwezi kusumbuka kufikiria hayo ya nynge unayoyasema ikiwa mumeo/mkeo yupo katika hali ya kushindwa kufanya hilo tendon, akili yote utaihamishia katika kum support na kumvusha katika hali ngumu anayopitia
Una hekima ubarikiwe
 
Back
Top Bottom