Safi SanaKufanya tendo ni fikra na hisia, fikra zangu zilikua ni kumuinua mwenzangu toka katika ugonjwa na kurejea katika hali yake ya kawaida tuliyoizoea, hayo uliyoyataja nilikua namchanganyia kwenye chakula ili kuimarisa Afya yake na kukuza hisia zetu za mapenzi wote wawili
Na hao wanaume wengine wanaochepuka wanachepuka na akina nani..??Kijana acha uzinzi. Sio wote ni hao tu uliowapata na wenye pepo la uzinzi kama wewe. Kwa taarifa yako wanawake wengi hawachepuki kama wanaume.
Teeehh teeeehhh..! Akirudi akute begi mlangoni...inaumaulimtia(punguza ukali wa maneno)
hivi wewe Jose, kumbe ndio unakujaga huku kusema siri?
unanidanganya unanipenda huchepuki[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Tatzo ye kiwembe afu anapata viwembe wenzake anais kila mwanamke Ni vua chup kwa kila mtuwe unaishi uwanja wa fisi, unakutana na malaya wenzio wa uwanja wa fisi mnabanduana as if hakuna Mungu unatuletea na thread kabisa za kipepo, hebu ushindwe
Unasukuma tu kizazi chakeMke wangu hachepuki maana kila siku nampa shuruba nzito nikirudi kazini mpaka ananiwekea timetable
[emoji23] [emoji23] Na nini rafiki ?Wee kibokoo
No nalinda ndoa yangu, bora nisukume mie kizaz kulko kusukmwa na wahuni wasio na uchungu wa mkeUnasukuma tu kizazi chake
Ukiishi kwa timetable hakika utafurahia maisha, jaribu na wwHadi time table mwee
Umenigusa mkuuNikiona jinsi watu wote wake kwa waume wanavyochepuka nashindwa kuelewa maana ya ndoa.
Kuna sehemu niliwahi kuishi, palikuwa na cross multiplication.....yaani mke wa A anagongwa na mume wa B halafu A wanagongana na B na kila mtu alijua[nikajiuliza kwanini wasibadilishane ndoa?]
Kwa mwanaume kuchepuka haimaanishi hana ndoa au mahusiano mazuri, ni kwamba alipatwa na genye then akapata sehemu ya kuzidump.....ni sawa na ku wank tu. Kwa mwanaume ngono na mapenzi ni vitu viwili tofauti, ME anaweza kumgegeda mwanamke asiyempenda.
Kwa mwanamke ngono ni hatua baada ya mapenzi, hakuna tofauti. Mwanamke kufanya ngono na ME, ujue amevuka vikwazo vingi pamoja na kumpenda. Tofauti na ME, KE hawezi kufanya mapenzi na mtu asiyempenda[kuna exceptional ndogo].
Ukiona mwanamke anachepuka ujue ndoa yake ina matatizo.
Ukimfumania mumeo halafu akakwambia anakupenda kuliko mchepuko wake, jua kuna uwezekano mkubwa akawa ni mkweli............Lakini ukimfumania mkeo jua alishakutoa moyoni.
Namuonea huruma mdada wa watu akikuona hana hata hamu nawe anakuombea usafiriNo nalinda ndoa yangu, bora nisukume mie kizaz kulko kusukmwa na wahuni wasio na uchungu wa mke
Ukijua mwili wako ni wa nani,wala huwezi kusumbuka kufikiria hayo ya nynge unayoyasema ikiwa mumeo/mkeo yupo katika hali ya kushindwa kufanya hilo tendon, akili yote utaihamishia katika kum support na kumvusha katika hali ngumu anayopitia
Lugha gani hiii?Kaa ukijua nawe mkewako au mchumba wsko nae anafumuliwa kuriho mbaya
Nimekugusa wapi?.......we ni KE au ME?.......au nimekugusa kwenye hiyo diagonal relationship?Umenigusa mkuu
Well andiko lako lina maudhui yaliyonifanya nitafakari sana....hicho ndicho nilichomaanisha mkuuNimekugusa wapi?.......we ni KE au ME?.......au nimekugusa kwenye hiyo diagonal relationship?
Ok, umeeleweka sana mkuu.Well andiko lako lina maudhui yaliyonifanya nitafakari sana....hicho ndicho nilichomaanisha mkuu