Kenge kama nyie mmebaki wachache sana..kama wewe unataka kutawaliwa na ccm na wizi wao miaka mia sisi wananchi wakombozi wa nchi hii tunasema enough is enough. .to hell with ccm..the 2nd freedom is comming soon! Wote jamani wenye uchungu na nchi yetu..tulio na vichinjio..n'gombe kaanguka anapiga mateke tu yuu karibu kukata roho october25 tutoke kwa wingi tukammalizie!
Nauliza swali hilo kwa kigezo kimoja tu nacho ni wizi wa mali ya umma.
Lowassa anatuhumiwa kwenye wizi wa Richmond bila ushahidi wowote ule mpaka sasa. Wanaomtuhumu ni walewale ambao wanaoweza kuwa na ushahidi ambao kama kweli alikwapua basi walitakiwa wawe wameshamburuta mahakamani tangu wakati ushahidi ulipopatikana kama kweli wanauchukia wizi wa mali ya umma na kama kweli wao wenyewe sio wezi.
Magufuli sio tu anatuhumiwa bali kuna ushahidi wa kitaalam uliotolewa na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ukimuhusisha na taarifa za uongo za kudai mabilioni ya pesa yametumika kujenga barabara wakati sio hivyo. Ni wazi kwamba Magufuli kakwapua hizo hela na hivyo HAFAI KUKAA IKULU HATA SEKUNDE MOJA.
Sasa jiulizeni hivi CCM imeshindwa kuja na mgombea wake ambaye sio mwizi? Kwa nini waweke mgombea ambaye ni mwizi kama wao wenyewe sio wezi?
Kifupi ni kwamba Magufuli atapigiwa kura tu na wezi wenzake wanaoliibia taifa hili usiku na mchana bila kunawa na hivyo kulifanya taifa hili lenye rasilimali lukuki kuendelea kuwa taifa masikini.
Watanzania wote wenye uchungu na nchi yao kama wamepewa kuchagua wa kumpigia kura kati ya mtu anayetuhumiwa tu bila ushahidi wowote na ambaye ameshathibitishwa kwamba ni mwizi na taasisi maalum yenye utaalamu kuhusu uthibitishaji huo basi watapiga kura kwa yule ambaye hajathibitishwa kwamba ni mwizi.
Je wewe kura yako iko kwa nani kati ya hawa wawili?
lowassa kawaambukiza uropokaji... we unadhani kutuita kenge ndio umeshinda, tukana matusi yote lakini hayabadili msimamo wangu na wenye akili wenzangu...
hoja hamna mnajimbilia matusi... eti wizi, ungekuws na uchungu kweli tungeona hata umechukua fomu, umekaa tu eti unauchungu
Hacha hujinga wewe kama lowasa sio mwizi kwanini aliamua kujiudhuru na tangu mwaka huo kakaa kimya ,ushaidi wa wizi wa lowasa wanao chadema mana wao ndo waliibua vuguvugu hilo mzee akavua bambino.Magufuri hatufai ila lowasa ni mchafu kama dambo la tabata.bora iwe hivi kuliko lowasa kuingia magogoni.
Nauliza swali hilo kwa kigezo kimoja tu nacho ni wizi wa mali ya umma.
Lowassa anatuhumiwa kwenye wizi wa Richmond bila ushahidi wowote ule mpaka sasa. Wanaomtuhumu ni walewale ambao wanaoweza kuwa na ushahidi ambao kama kweli alikwapua basi walitakiwa wawe wameshamburuta mahakamani tangu wakati ushahidi ulipopatikana kama kweli wanauchukia wizi wa mali ya umma na kama kweli wao wenyewe sio wezi.
Magufuli sio tu anatuhumiwa bali kuna ushahidi wa kitaalam uliotolewa na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ukimuhusisha na taarifa za uongo za kudai mabilioni ya pesa yametumika kujenga barabara wakati sio hivyo. Ni wazi kwamba Magufuli kakwapua hizo hela na hivyo HAFAI KUKAA IKULU HATA SEKUNDE MOJA.
Sasa jiulizeni hivi CCM imeshindwa kuja na mgombea wake ambaye sio mwizi? Kwa nini waweke mgombea ambaye ni mwizi kama wao wenyewe sio wezi?
Kifupi ni kwamba Magufuli atapigiwa kura tu na wezi wenzake wanaoliibia taifa hili usiku na mchana bila kunawa na hivyo kulifanya taifa hili lenye rasilimali lukuki kuendelea kuwa taifa masikini.
Watanzania wote wenye uchungu na nchi yao kama wamepewa kuchagua wa kumpigia kura kati ya mtu anayetuhumiwa tu bila ushahidi wowote na ambaye ameshathibitishwa kwamba ni mwizi na taasisi maalum yenye utaalamu kuhusu uthibitishaji huo basi watapiga kura kwa yule ambaye hajathibitishwa kwamba ni mwizi.
Je wewe kura yako iko kwa nani kati ya hawa wawili?
Mbona unaongea kinyume? Mataahira wote na misukule ndio watakaompigia kura Lowasa
Kama ni CDM ndio iliosema Lowassa ni Fisadi wa Richmond kwa hiyo unataka kuniambia kwamba CCM mnamuhukumu Lowassa kwa ushahidi uliotangazwa kwenye jukwaa la siasa na CHADEMA? Unataka kuniambia kwamba mmefikia kiasi hicho cha kumtenga, kumbagua, kumtukana, kumnyanyasa simply kwa sababu CHADEMA walisema Lowassa fisadi?
Kama ni hivyo basi mnazidi kudhihirisha utaahira wenu kwani huwezi kumuhukumu mtu kwa kusikia tu kutoka kwenye mkutano wa siasa na hasa kwa CCM kwani Kikwete anafahamu vizuri nani ni mwizi kwenye mradi wa Richmond na hivyo alitakiwa amburute mahakamani kama yeye mwenyewe sio mwizi. Kwa sababu hajafanya hivyo, tafsiri pekee hapa ni kwamba mwizi ni Kikwete mwenyewe na Serikali yake.
hivi mmegundua wafuasi wa Lowassa na UKAWA kwa ujumla wako na mori na hyper sana kama wamelishwa pilipili kichaa. maneno meengi, mara wapige deki barabara, mara watambae, mara hivi mara vile. wana kelele sana. mie sina chama na hii ni observation yangu tu
Mtaendelea kupiga deki barabara lakini Lowassa hataingia Ikulu.
Ikulu sio pango la walanguzi.
Hacha hujinga wewe kama lowasa sio mwizi kwanini aliamua kujiudhuru na tangu mwaka huo kakaa kimya ,ushaidi wa wizi wa lowasa wanao chadema mana wao ndo waliibua vuguvugu hilo mzee akavua bambino.Magufuri hatufai ila lowasa ni mchafu kama dambo la tabata.bora iwe hivi kuliko lowasa kuingia magogoni.
Najiuliza mwenye akili ampigie kura kuku wakizungu Lowassa!
Umeelewa swali langu?
NAKURAHISISHIA:Ile orodha ya Mwembeyanga ilikuwa ya mafisadi au siyo mafisadi?
Halafu naona umekomaa na Richmond pekee,kwa taarifa yako Lowassa mlimtaja fisadi kabla ya Richmond.
Mtaendelea kupiga deki barabara lakini Lowassa hataingia Ikulu.
Ikulu sio pango la walanguzi.
Mtaendelea kupiga deki barabara lakini Lowassa hataingia Ikulu.
Ikulu sio pango la walanguzi.
Nauliza swali hilo kwa kigezo kimoja tu nacho ni wizi wa mali ya umma.
Lowassa anatuhumiwa kwenye wizi wa Richmond bila ushahidi wowote ule mpaka sasa. Wanaomtuhumu ni walewale ambao wanaoweza kuwa na ushahidi ambao kama kweli alikwapua basi walitakiwa wawe wameshamburuta mahakamani tangu wakati ushahidi ulipopatikana kama kweli wanauchukia wizi wa mali ya umma na kama kweli wao wenyewe sio wezi.
Magufuli sio tu anatuhumiwa bali kuna ushahidi wa kitaalam uliotolewa na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ukimuhusisha na taarifa za uongo za kudai mabilioni ya pesa yametumika kujenga barabara wakati sio hivyo. Ni wazi kwamba Magufuli kakwapua hizo hela na hivyo HAFAI KUKAA IKULU HATA SEKUNDE MOJA.
Sasa jiulizeni hivi CCM imeshindwa kuja na mgombea wake ambaye sio mwizi? Kwa nini waweke mgombea ambaye ni mwizi kama wao wenyewe sio wezi?
Kifupi ni kwamba Magufuli atapigiwa kura tu na wezi wenzake wanaoliibia taifa hili usiku na mchana bila kunawa na hivyo kulifanya taifa hili lenye rasilimali lukuki kuendelea kuwa taifa masikini.
Watanzania wote wenye uchungu na nchi yao kama wamepewa kuchagua wa kumpigia kura kati ya mtu anayetuhumiwa tu bila ushahidi wowote na ambaye ameshathibitishwa kwamba ni mwizi na taasisi maalum yenye utaalamu kuhusu uthibitishaji huo basi watapiga kura kwa yule ambaye hajathibitishwa kwamba ni mwizi.
Je wewe kura yako iko kwa nani kati ya hawa wawili?
Mtu anayempigia mtu ambaye kwa miaka mingi amekuwa akitangazwa ni mchafu kimaadili na mpaka alitimuliwa ktk ofisi ya umma kwa kushindwa kuwa muadilifu ghafla tena baada ya kuambiwa na chama chake kuwa yeye bado hana sifa za kuwa kiongozi muadirifu then wewe unampigiaje kura mtu wa sampuli hiyo. Mtu ambaye atampigia mtu huyo namshangaa