Elections 2015 Hivi kuna mtu mwenye akili timamu atakayempigia kura yake Magufuli na kumuacha Lowassa?

Kenge kama nyie mmebaki wachache sana..kama wewe unataka kutawaliwa na ccm na wizi wao miaka mia sisi wananchi wakombozi wa nchi hii tunasema enough is enough. .to hell with ccm..the 2nd freedom is comming soon! Wote jamani wenye uchungu na nchi yetu..tulio na vichinjio..n'gombe kaanguka anapiga mateke tu yuu karibu kukata roho october25 tutoke kwa wingi tukammalizie!

lowassa kawaambukiza uropokaji... we unadhani kutuita kenge ndio umeshinda, tukana matusi yote lakini hayabadili msimamo wangu na wenye akili wenzangu...

hoja hamna mnajimbilia matusi... eti wizi, ungekuws na uchungu kweli tungeona hata umechukua fomu, umekaa tu eti unauchungu
 
Nauliza swali hilo kwa kigezo kimoja tu nacho ni wizi wa mali ya umma.

Lowassa anatuhumiwa kwenye wizi wa Richmond bila ushahidi wowote ule mpaka sasa. Wanaomtuhumu ni walewale ambao wanaoweza kuwa na ushahidi ambao kama kweli alikwapua basi walitakiwa wawe wameshamburuta mahakamani tangu wakati ushahidi ulipopatikana kama kweli wanauchukia wizi wa mali ya umma na kama kweli wao wenyewe sio wezi.

Magufuli sio tu anatuhumiwa bali kuna ushahidi wa kitaalam uliotolewa na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ukimuhusisha na taarifa za uongo za kudai mabilioni ya pesa yametumika kujenga barabara wakati sio hivyo. Ni wazi kwamba Magufuli kakwapua hizo hela na hivyo HAFAI KUKAA IKULU HATA SEKUNDE MOJA.

Sasa jiulizeni hivi CCM imeshindwa kuja na mgombea wake ambaye sio mwizi? Kwa nini waweke mgombea ambaye ni mwizi kama wao wenyewe sio wezi?

Kifupi ni kwamba Magufuli atapigiwa kura tu na wezi wenzake wanaoliibia taifa hili usiku na mchana bila kunawa na hivyo kulifanya taifa hili lenye rasilimali lukuki kuendelea kuwa taifa masikini.

Watanzania wote wenye uchungu na nchi yao kama wamepewa kuchagua wa kumpigia kura kati ya mtu anayetuhumiwa tu bila ushahidi wowote na ambaye ameshathibitishwa kwamba ni mwizi na taasisi maalum yenye utaalamu kuhusu uthibitishaji huo basi watapiga kura kwa yule ambaye hajathibitishwa kwamba ni mwizi.

Je wewe kura yako iko kwa nani kati ya hawa wawili?

Hacha hujinga wewe kama lowasa sio mwizi kwanini aliamua kujiudhuru na tangu mwaka huo kakaa kimya ,ushaidi wa wizi wa lowasa wanao chadema mana wao ndo waliibua vuguvugu hilo mzee akavua bambino.Magufuri hatufai ila lowasa ni mchafu kama dambo la tabata.bora iwe hivi kuliko lowasa kuingia magogoni.
 

Attachments

  • Click image for larger version_ Name_1439918077315_jpg Views_583 Size_105_0 KB ID_277851.jpg
    Click image for larger version_ Name_1439918077315_jpg Views_583 Size_105_0 KB ID_277851.jpg
    13.5 KB · Views: 156
lowassa kawaambukiza uropokaji... we unadhani kutuita kenge ndio umeshinda, tukana matusi yote lakini hayabadili msimamo wangu na wenye akili wenzangu...

hoja hamna mnajimbilia matusi... eti wizi, ungekuws na uchungu kweli tungeona hata umechukua fomu, umekaa tu eti unauchungu

Vizuri sana mkuu
 
Hacha hujinga wewe kama lowasa sio mwizi kwanini aliamua kujiudhuru na tangu mwaka huo kakaa kimya ,ushaidi wa wizi wa lowasa wanao chadema mana wao ndo waliibua vuguvugu hilo mzee akavua bambino.Magufuri hatufai ila lowasa ni mchafu kama dambo la tabata.bora iwe hivi kuliko lowasa kuingia magogoni.

Lowassa ni jizi papa
 
Nauliza swali hilo kwa kigezo kimoja tu nacho ni wizi wa mali ya umma.

Lowassa anatuhumiwa kwenye wizi wa Richmond bila ushahidi wowote ule mpaka sasa. Wanaomtuhumu ni walewale ambao wanaoweza kuwa na ushahidi ambao kama kweli alikwapua basi walitakiwa wawe wameshamburuta mahakamani tangu wakati ushahidi ulipopatikana kama kweli wanauchukia wizi wa mali ya umma na kama kweli wao wenyewe sio wezi.

Magufuli sio tu anatuhumiwa bali kuna ushahidi wa kitaalam uliotolewa na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ukimuhusisha na taarifa za uongo za kudai mabilioni ya pesa yametumika kujenga barabara wakati sio hivyo. Ni wazi kwamba Magufuli kakwapua hizo hela na hivyo HAFAI KUKAA IKULU HATA SEKUNDE MOJA.

Sasa jiulizeni hivi CCM imeshindwa kuja na mgombea wake ambaye sio mwizi? Kwa nini waweke mgombea ambaye ni mwizi kama wao wenyewe sio wezi?

Kifupi ni kwamba Magufuli atapigiwa kura tu na wezi wenzake wanaoliibia taifa hili usiku na mchana bila kunawa na hivyo kulifanya taifa hili lenye rasilimali lukuki kuendelea kuwa taifa masikini.

Watanzania wote wenye uchungu na nchi yao kama wamepewa kuchagua wa kumpigia kura kati ya mtu anayetuhumiwa tu bila ushahidi wowote na ambaye ameshathibitishwa kwamba ni mwizi na taasisi maalum yenye utaalamu kuhusu uthibitishaji huo basi watapiga kura kwa yule ambaye hajathibitishwa kwamba ni mwizi.

Je wewe kura yako iko kwa nani kati ya hawa wawili?


Kwanza naskia Leo magamba yamezomewa kweli maeneo ya mwenge yalikodiwa coaster kwenda huko diamond jubilee
 
hivi mmegundua wafuasi wa Lowassa na UKAWA kwa ujumla wako na mori na hyper sana kama wamelishwa pilipili kichaa. maneno meengi, mara wapige deki barabara, mara watambae, mara hivi mara vile. wana kelele sana. mie sina chama na hii ni observation yangu tu
 
Kama ni CDM ndio iliosema Lowassa ni Fisadi wa Richmond kwa hiyo unataka kuniambia kwamba CCM mnamuhukumu Lowassa kwa ushahidi uliotangazwa kwenye jukwaa la siasa na CHADEMA? Unataka kuniambia kwamba mmefikia kiasi hicho cha kumtenga, kumbagua, kumtukana, kumnyanyasa simply kwa sababu CHADEMA walisema Lowassa fisadi?

Kama ni hivyo basi mnazidi kudhihirisha utaahira wenu kwani huwezi kumuhukumu mtu kwa kusikia tu kutoka kwenye mkutano wa siasa na hasa kwa CCM kwani Kikwete anafahamu vizuri nani ni mwizi kwenye mradi wa Richmond na hivyo alitakiwa amburute mahakamani kama yeye mwenyewe sio mwizi. Kwa sababu hajafanya hivyo, tafsiri pekee hapa ni kwamba mwizi ni Kikwete mwenyewe na Serikali yake.

Umeelewa swali langu?

NAKURAHISISHIA:Ile orodha ya Mwembeyanga ilikuwa ya mafisadi au siyo mafisadi?

Halafu naona umekomaa na Richmond pekee,kwa taarifa yako Lowassa mlimtaja fisadi kabla ya Richmond.
 
hivi mmegundua wafuasi wa Lowassa na UKAWA kwa ujumla wako na mori na hyper sana kama wamelishwa pilipili kichaa. maneno meengi, mara wapige deki barabara, mara watambae, mara hivi mara vile. wana kelele sana. mie sina chama na hii ni observation yangu tu

ndio hapo sasa uone kuwa hawajui walitendalo...ni mihemko yao , , , wanamwona kama mungu wao eti mkombozi, wengine wakamfananisha na mtume halafu ndio wanakuja kujishtukia baadaye kuwa akili zilikuwa zimeruka,,, sasa kuna wengine bado akili hazijarudi wao ni kurukaruka tu wanaungua na jua mara usiku wakeshe eti wanamlinda..yani shida tupu
 
Mtaendelea kupiga deki barabara lakini Lowassa hataingia Ikulu.

Ikulu sio pango la walanguzi.
 
Mtaendelea kupiga deki barabara lakini Lowassa hataingia Ikulu.

Ikulu sio pango la walanguzi.

ila hii ya kupiga deki barabara naomba Mirembe ihusike, mtu mwenye akili timamu hawezi fanya hivyo! kama kuna mtu anawapa viroba naomba aache watu warudishe senses zao!
 
Hacha hujinga wewe kama lowasa sio mwizi kwanini aliamua kujiudhuru na tangu mwaka huo kakaa kimya ,ushaidi wa wizi wa lowasa wanao chadema mana wao ndo waliibua vuguvugu hilo mzee akavua bambino.Magufuri hatufai ila lowasa ni mchafu kama dambo la tabata.bora iwe hivi kuliko lowasa kuingia magogoni.

Kwa hiyo mtu analiibia taifa mabilioni ya pesa halafu Serikali inamruhusu ajiuzulu ili akayale hayo mapesa kwa amani bila kumchukulia hatua yoyote? Kama kweli Lowassa aliiba basi alishirikiana na Serikali yote kuiba ndio maana hawataki kumeleka mahakamani kwa sababu wanajua waliiba wote. Lakini Lowassa kashakanusha na kuelezea waziwazi kwamba muhusika ni mkuu wa nchi. Sasa utakuwa mjinga sana kama utamuhukumu mtu ambaye ameshakana kuhusika na muhusika kamtaja lakini hakuna vyombo vya sheria vilivyomwita Kikwete kumhoji mpaka sasa hivi.

Ni vilevile kwa Magufuli. Ametajwa na kashfa ya wizi wa mabilioni ya pesa lakini hakuna hatua yoyote ile iliyochukuliwa na Serikali na badala yake wanatuletea mtuhumiwa tumpigie kura!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Tumia kichwa kufikiri na si vinginevyo.
 
Umeelewa swali langu?

NAKURAHISISHIA:Ile orodha ya Mwembeyanga ilikuwa ya mafisadi au siyo mafisadi?

Halafu naona umekomaa na Richmond pekee,kwa taarifa yako Lowassa mlimtaja fisadi kabla ya Richmond.

Ilikuwa orodha ya watuhumiwa wa ufisadi na si mafisadi. Lowassa ameshasema yeye hausiki na mhusika ni Kikwete. Hivyo Lowassa anatolewa rasmi kwenye listi ile ya watuhumiwa na mtuhumiwa hapa ni Kikwete.

Hata kwenye kutajwa kwa Lowassa kwenye maeneo mengine ukiacha Richmond bado ni kumtuhumu tu. Serikali iliyokuwepo madarakani wakati huo ilikuwa na jukumu la kumburuta mahakamani ili ajibu tuhuma kama zilikuwa na ushahidi wa uhusika wake kwenye matukio hayo. Kwa nini haikufanya hivyo?

Kama kweli Lowassa alihusika katika wizi anaoutuhumiwa, basi Serikali ya wakati huo nao ni wezi kwa kushindwa kumchukulia hatua kama walikuwa na ushahidi kwa sababu huwezi kumuacha mtu anaiibia Serikali mabilioni ya pesa bila kuchukua hatua yoyote kama wewe mwenyewe sio mwizi.

Sasa kwa issue ya Magufuli hii iko wazi kabisa kwamba kuna ushahidi wa kitaalam uliotolewa na CAG kwamba alitunga mradi hewa wa ujenzi wa barabara na kuupatia namba hewa ili kuiba mabilioni ya walipa kodi.

Inaingia akilini namna gani mtu ambaye amethibitishwa kuwa mwizi wa mali ya umma aliyekubuhu kwa kudanga mradi pamoja na namba ya mradi ndio huyo CCM inatuletea eti tumpigie kura ya kuwa Rais wa Tanzanina?

Kama aliweza kuiba mabilioni wakati akiwa waziri, ni wazi kwamba ataiba matrilioni akiwa rais tena bila kutunga uongo wa kuhalalisha wizi wake bali atakwapua mchana kweupe bila justification yoyote ile hata ya uongo.

Kwa nini CCM watuletee mwizi aliyekubuhu kwenye kinyang'anyiro cha mgombea urais? Bila shaka ni kwa sababu waliompigia debe ili agombee ni wezi wenzake ili waendelee kuliibia taifa hili kupitia mgongo wa mwizi mwenzao atakapoingia ikulu.

Watanzania mumuogope Magufuli kama Ebola ama sivyo nchi itafilisiwa kabisa katika kipindi chake cha mwaka mmoja tu.
 
Mtaendelea kupiga deki barabara lakini Lowassa hataingia Ikulu.

Ikulu sio pango la walanguzi.

siyo kosa lako kaka ndio ulivyo aminishwa na wanaokutuma, lakini ungekuwa na akili japo kidogo basi ungewauliza hao wanao kutuma,

kwa nini kama lowassa ni mchafu, basi kwa nini serikali kama inahushahidi isingempeleka mahakamani?

Bali iliendelea kumpa nafasi tena nyeti za kiserikali?

Kaka wakati mwingine ukiambiwa basi ni vyema ukachanganya na za kwako,
 
Nauliza swali hilo kwa kigezo kimoja tu nacho ni wizi wa mali ya umma.

Lowassa anatuhumiwa kwenye wizi wa Richmond bila ushahidi wowote ule mpaka sasa. Wanaomtuhumu ni walewale ambao wanaoweza kuwa na ushahidi ambao kama kweli alikwapua basi walitakiwa wawe wameshamburuta mahakamani tangu wakati ushahidi ulipopatikana kama kweli wanauchukia wizi wa mali ya umma na kama kweli wao wenyewe sio wezi.

Magufuli sio tu anatuhumiwa bali kuna ushahidi wa kitaalam uliotolewa na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ukimuhusisha na taarifa za uongo za kudai mabilioni ya pesa yametumika kujenga barabara wakati sio hivyo. Ni wazi kwamba Magufuli kakwapua hizo hela na hivyo HAFAI KUKAA IKULU HATA SEKUNDE MOJA.

Sasa jiulizeni hivi CCM imeshindwa kuja na mgombea wake ambaye sio mwizi? Kwa nini waweke mgombea ambaye ni mwizi kama wao wenyewe sio wezi?

Kifupi ni kwamba Magufuli atapigiwa kura tu na wezi wenzake wanaoliibia taifa hili usiku na mchana bila kunawa na hivyo kulifanya taifa hili lenye rasilimali lukuki kuendelea kuwa taifa masikini.

Watanzania wote wenye uchungu na nchi yao kama wamepewa kuchagua wa kumpigia kura kati ya mtu anayetuhumiwa tu bila ushahidi wowote na ambaye ameshathibitishwa kwamba ni mwizi na taasisi maalum yenye utaalamu kuhusu uthibitishaji huo basi watapiga kura kwa yule ambaye hajathibitishwa kwamba ni mwizi.

Je wewe kura yako iko kwa nani kati ya hawa wawili?

KILIMANJARO , ARUSHA NA MANYARA- WALISUSA KUJIANDIKISHA BVR- LOWASA ATAISOMA NUMBER.

MKUKI WA KULENGEA HUU HAPA; ASUBUHI NA MAPEMA ; CCM BIASHARA WALISHAMALIZA.

UKANDA WA KASKAZINI WAMEMSUSA SASA WA NN HUKU


DSC01009.jpg
 
Mtu anayempigia mtu ambaye kwa miaka mingi amekuwa akitangazwa ni mchafu kimaadili na mpaka alitimuliwa ktk ofisi ya umma kwa kushindwa kuwa muadilifu ghafla tena baada ya kuambiwa na chama chake kuwa yeye bado hana sifa za kuwa kiongozi muadirifu then wewe unampigiaje kura mtu wa sampuli hiyo. Mtu ambaye atampigia mtu huyo namshangaa

Hivi kujiuzulu ni kufukuzwa. By the way, Lowassa anakuwa ni kiongoz sahihi kwa kujiuzulu, legacy amabyo wachumia tumbo wengi pamoja na madudu wamegoma kujiuzulu. Hoja ya CAG haijajibiwa so far kuhusu pesa alizoziwekea audit query!
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom