Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,362
Sitaki kuwapotezea muda , naingia moja kwa moja kwenye mada .
1. Tamisemi isijihusishe na lolote kwenye uchaguzi , hii ni kwa sababu ndani ya Tamisemi wamejaa wateule wa Rais ambaye ni Mwenyekiti wa CCM
Miongoni mwa waliomo Tamisemi yumo Dr Mahera , huyu ni mtuhumiwa pili wa Kuvuruga Uchaguzi wa 2020 , mtuhumiwa wa kwanza ni Dr Magufuli .
2..Ma DED si tu kwamba wasiruhusiwe kusimamia Uchaguzi , bali hawa hawatakiwi hata kukanyaga kwenye eneo la kituo cha kupigia kura , hawa ni Wateule wa Rais ambaye ni Mwenyekiti wa CCM na ni makada wa kufa na kuzikana wa ccm , Yaliyotendwa na Kagurumujuli hadi kuuawa kwa Akwilina hatujasahau .
Kwa vile tumeamua kuunda upya eneo hili ili kuondoa wizi wa kura , Upendeleo na mauaji basi eneo hili ambalo ni adui wa Taifa lisijihusishe wala kuhusishwa na Usimamizi wa Uchaguzi wowote ule .
ITAENDELEA .......
1. Tamisemi isijihusishe na lolote kwenye uchaguzi , hii ni kwa sababu ndani ya Tamisemi wamejaa wateule wa Rais ambaye ni Mwenyekiti wa CCM
Miongoni mwa waliomo Tamisemi yumo Dr Mahera , huyu ni mtuhumiwa pili wa Kuvuruga Uchaguzi wa 2020 , mtuhumiwa wa kwanza ni Dr Magufuli .
2..Ma DED si tu kwamba wasiruhusiwe kusimamia Uchaguzi , bali hawa hawatakiwi hata kukanyaga kwenye eneo la kituo cha kupigia kura , hawa ni Wateule wa Rais ambaye ni Mwenyekiti wa CCM na ni makada wa kufa na kuzikana wa ccm , Yaliyotendwa na Kagurumujuli hadi kuuawa kwa Akwilina hatujasahau .
Kwa vile tumeamua kuunda upya eneo hili ili kuondoa wizi wa kura , Upendeleo na mauaji basi eneo hili ambalo ni adui wa Taifa lisijihusishe wala kuhusishwa na Usimamizi wa Uchaguzi wowote ule .
ITAENDELEA .......