Nipo Mimi kura yangu magufuri
Lowassa, Ukawa watashinda zaidi ya 83%
MAGUFULI, CCM... 16%....
MTASHANGAAA OCTOBER...
Ndio mkome kutukana wananchi..na kudharau maskini wa nchi hii...!!!
Nauliza swali hilo kwa kigezo kimoja tu nacho ni wizi wa mali ya umma.
Lowassa anatuhumiwa kwenye wizi wa Richmond bila ushahidi wowote ule mpaka sasa. Wanaomtuhumu ni walewale ambao wanaoweza kuwa na ushahidi ambao kama kweli alikwapua basi walitakiwa wawe wameshamburuta mahakamani tangu wakati ushahidi ulipopatikana kama kweli wanauchukia wizi wa mali ya umma na kama kweli wao wenyewe sio wezi.
Magufuli sio tu anatuhumiwa bali kuna ushahidi wa kitaalam uliotolewa na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ukimuhusisha na taarifa za uongo za kudai mabilioni ya pesa yametumika kujenga barabara wakati sio hivyo. Ni wazi kwamba Magufuli kakwapua hizo hela na hivyo HAFAI KUKAA IKULU HATA SEKUNDE MOJA.
Sasa jiulizeni hivi CCM imeshindwa kuja na mgombea wake ambaye sio mwizi? Kwa nini waweke mgombea ambaye ni mwizi kama wao wenyewe sio wezi?
Kifupi ni kwamba Magufuli atapigiwa kura tu na wezi wenzake wanaoliibia taifa hili usiku na mchana bila kunawa na hivyo kulifanya taifa hili lenye rasilimali lukuki kuendelea kuwa taifa masikini.
Watanzania wote wenye uchungu na nchi yao kama wamepewa kuchagua wa kumpigia kura kati ya mtu anayetuhumiwa tu bila ushahidi wowote na ambaye ameshathibitishwa kwamba ni mwizi na taasisi maalum yenye utaalamu kuhusu uthibitishaji huo basi watapiga kura kwa yule ambaye hajathibitishwa kwamba ni mwizi.
Je wewe kura yako iko kwa nani kati ya hawa wawili?
Tatizo Afya kaka
------->>>>Endapo atatokea wa kuipigia ccm italazimu kwanza AKAPIMWE AKILI YAKE
NDANI YA CCM 75% NI TIMU LOWASA!!
Ama kweli kuna watu wajinga sana duniani,hivi huu nao ni uzi?
Hivi unapata wapi ujasiri wa kumpigia kura lowassa kwa machafu aliyoyafanya kwa watanzania???
mtu yeyote atakaye mpigia kura lowassa atalaaniwa milele.
Kwa hiyo Lowassa aliingia kwenye ile orodha ya Mwembeyanga kwa kigezo cha kuwa mmeo au?
Au ile ilikuwa orodha ya mabasha wa CDM?
Mlisema wenyewe kuwa jamaa ni fisadi na ushahidi mnao sasa mnataka ushahidi upi?
Rudini Mwembeyanga mkaseme ile orodha mliikosea heading wale ni waume zenu.
Lazima mlipe gharama za uropokaji.
kila mtu na akili zake .. hapa tunaangalia uwezo wa mtu kuongoza na sio chama..
nasema wazi kama ccm wangempitisha lowassa na chadema wakampitisha slaa ningekuwa radhi kumchagua slaa....
lakini naahukuru lowassa alikatwa .. Siiungi mkono chadema sio kwa sababu ni chadema bali ni kwa sababu waliyempitisha ni lowassa.. yule mzee hafai kuongoza hata kijiji..
mara mia ccm waendelee kutawala miaka mia kuliko lowassa kutawala mwaka mmoja
Nauliza swali hilo kwa kigezo kimoja tu nacho ni wizi wa mali ya umma.
Lowassa anatuhumiwa kwenye wizi wa Richmond bila ushahidi wowote ule mpaka sasa. Wanaomtuhumu ni walewale ambao wanaoweza kuwa na ushahidi ambao kama kweli alikwapua basi walitakiwa wawe wameshamburuta mahakamani tangu wakati ushahidi ulipopatikana kama kweli wanauchukia wizi wa mali ya umma na kama kweli wao wenyewe sio wezi.
Magufuli sio tu anatuhumiwa bali kuna ushahidi wa kitaalam uliotolewa na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ukimuhusisha na taarifa za uongo za kudai mabilioni ya pesa yametumika kujenga barabara wakati sio hivyo. Ni wazi kwamba Magufuli kakwapua hizo hela na hivyo HAFAI KUKAA IKULU HATA SEKUNDE MOJA.
Sasa jiulizeni hivi CCM imeshindwa kuja na mgombea wake ambaye sio mwizi? Kwa nini waweke mgombea ambaye ni mwizi kama wao wenyewe sio wezi?
Kifupi ni kwamba Magufuli atapigiwa kura tu na wezi wenzake wanaoliibia taifa hili usiku na mchana bila kunawa na hivyo kulifanya taifa hili lenye rasilimali lukuki kuendelea kuwa taifa masikini.
Watanzania wote wenye uchungu na nchi yao kama wamepewa kuchagua wa kumpigia kura kati ya mtu anayetuhumiwa tu bila ushahidi wowote na ambaye ameshathibitishwa kwamba ni mwizi na taasisi maalum yenye utaalamu kuhusu uthibitishaji huo basi watapiga kura kwa yule ambaye hajathibitishwa kwamba ni mwizi.
Je wewe kura yako iko kwa nani kati ya hawa wawili?