manonawire
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 943
- 1,216
Habar wana JF, hv kuna mahusiano gani kati ya dini na sayansi?
Yani namaanisha maswali ambayo yana majibu kwny sayansi basi yanampinga MUNGU na yakikosa majibu jibu huwa n mpango wa MUNGU
Kwa mfano
1) Baada ya sayansi kujua kuwa kuna super natural power ina exist basi ikapinga uumbaji wa MUNGU
Hii inapinga
2)Magonjwa yote sugu yasiyo na tiba na mambo ambayo yako nje ya upeo wetu jibu lake n MUNGU
Hii inakubali
Na mifano mingine mingi unayoweza fikiria
Na kwa nn baadhi ya mambo tuegemee upande wa Dini na mengine upande wa sayansi¿¿
Na je siku sayansi iki prove kwamba mtu akifa anaenda sehemu fulani sio peponi/paradiso wala jehanamu/motoni wewe utakaa upande gani??
N mtazamo tu,hebu share mawazo yako.Nawasilisha.
Yani namaanisha maswali ambayo yana majibu kwny sayansi basi yanampinga MUNGU na yakikosa majibu jibu huwa n mpango wa MUNGU
Kwa mfano
1) Baada ya sayansi kujua kuwa kuna super natural power ina exist basi ikapinga uumbaji wa MUNGU
Hii inapinga
2)Magonjwa yote sugu yasiyo na tiba na mambo ambayo yako nje ya upeo wetu jibu lake n MUNGU
Hii inakubali
Na mifano mingine mingi unayoweza fikiria
Na kwa nn baadhi ya mambo tuegemee upande wa Dini na mengine upande wa sayansi¿¿
Na je siku sayansi iki prove kwamba mtu akifa anaenda sehemu fulani sio peponi/paradiso wala jehanamu/motoni wewe utakaa upande gani??
N mtazamo tu,hebu share mawazo yako.Nawasilisha.