Maswali magumu kwenye imani na sayansi

Mjomba Fujo

JF-Expert Member
Oct 27, 2012
2,322
5,946
Nimekua na maswali yasiyo na majibu.

Kwenye Sayansi tunaambiwa binadamu wametokana na evolution process kwamba ni zao na masokwe sijui nyani.

Kwenye imani za kidini tunaambiwa Mungu aliumba adam na Hawa ndio mwanzo.

swali langu

1. Kwenye sayansi
Je hao nyani au sokwe waliofanya evolution na kuwa binadam kamili walitokea wapi, nani aliwatengeneza au kuwaumba cahnzo chao ni kipi haswa. Maana kila kitu kina chanzo uki trace back chanzo chako utawakuta babu zako zako na grand groundfather na kurudi nyuma huko sasa hawa wa mwanzo wanatokea wapi au ni umbali wa historia kiasi cha kwamba jibu linakosenakaa?

2. Kwenye Imani Bible na quran
Je kabla ya kuumbwa Adam na Eva kulikua na nini?
Mungu alikua anafanya nini?
Nani alimuumba Mungu?
Aliyemuumba Mungu ni nani?
Mwanzo ni upi?


Mawazo yangu;
Inawezekana tunakosa taarifa za awali kwasababu ya ufinyu wa taarifa za nyuma na upungufu au ukosefu wa teknolojia wa kipindi hicho.

Naamini hivi kama leo kuna watu wanaamini watu wanafufuliwa basi namimi naweza kuaminisha watu wapya au vizazi vipya kwamba watu wanatengenezwa maabara kwa uwezo wa biological tecnologies na watu hawa wakaamini pasipo shaka.

Je majibu tunayopewa kwa sasa yanajitosheleza kiasi gani?
Yana ukweli kiasi gani?
Ikiwa unaweza kuaminisha kizazi kimoja kw ataarifa fulani na hizo taarifa zikawa passed kwa vizazi vijavyo na kuaminika pasipo na shaka. (kama ilivyo taboo mbalimbali zisizo na uhalisia au ukweli wowote katika maisha ya kawaida)

Mimi nadhani kuna ukosefu wa taarifa zote.
Na hizi taarifa zimeanza kutunzwa kwa umakini katika kizazi au generation fulani.

Nini maoni yako?
 
Nimekua na maswali yasiyo na majibu.

Kwenye Sayansi tunaambiwa binadamu wametokana na evolution process kwamba ni zao na masokwe sijui nyani.

Kwenye imani za kidini tunaambiwa Mungu aliumba adam na Hawa ndio mwanzo.

swali langu

1. Kwenye sayansi
Je hao nyani au sokwe waliofanya evolution na kuwa binadam kamili walitokea wapi, nani aliwatengeneza au kuwaumba cahnzo chao ni kipi haswa. Maana kila kitu kina chanzo uki trace back chanzo chako utawakuta babu zako zako na grand groundfather na kurudi nyuma huko sasa hawa wa mwanzo wanatokea wapi au ni umbali wa historia kiasi cha kwamba jibu linakosenakaa?

2. Kwenye Imani Bible na quran
Je kabla ya kuumbwa Adam na Eva kulikua na nini?
Mungu alikua anafanya nini?
Nani alimuumba Mungu?
Aliyemuumba Mungu ni nani?
Mwanzo ni upi?


Mawazo yangu;
Inawezekana tunakosa taarifa za awali kwasababu ya ufinyu wa taarifa za nyuma na upungufu au ukosefu wa teknolojia wa kipindi hicho.

Naamini hivi kama leo kuna watu wanaamini watu wanafufuliwa basi namimi naweza kuaminisha watu wapya au vizazi vipya kwamba watu wanatengenezwa maabara kwa uwezo wa biological tecnologies na watu hawa wakaamini pasipo shaka.

Je majibu tunayopewa kwa sasa yanajitosheleza kiasi gani?
Yana ukweli kiasi gani?
Ikiwa unaweza kuaminisha kizazi kimoja kw ataarifa fulani na hizo taarifa zikawa passed kwa vizazi vijavyo na kuaminika pasipo na shaka. (kama ilivyo taboo mbalimbali zisizo na uhalisia au ukweli wowote katika maisha ya kawaida)

Mimi nadhani kuna ukosefu wa taarifa zote.
Na hizi taarifa zimeanza kutunzwa kwa umakini katika kizazi au generation fulani.

Nini maoni yako?
Mkuu maswala ya Adam na Eve yapo kwenye Dinu chache tu sio zote yapo kwenye ukristo,Uyahudi na Uislamu ukienda dini zingine hakuna Hiyo Hadithi ya kuumbwa mtu mmoja,

Na hata ukiangalia Umri wa dunia kwenye dini hizo tatu ni miaka 6004 na Dini zingine zinapishana ukisoma Hindu,Budha dini za kisamalia na dini za kigiriki zote zinapishana na Adam na hawa unaowaswma
 
Kwenye sayansi
Je hao nyani au sokwe waliofanya evolution na kuwa binadam kamili walitokea wapi, nani aliwatengeneza au kuwaumba cahnzo chao ni kipi haswa. Maana kila kitu kina chanzo uki trace tarca chanzo chako utawakuta babu zako zako na grandgroundfather na kurudi nyuma huko sasa hawa wa mwanzo wanatokea wapi au ni umbali wa historia kiasi cha kwamba jibu linakosenakaa?
Mbona hueleweki hata unacho andika
 
Kwa sayansi yangu ambayo naifanyia utafiti:-​
  • Chukua nyama mbichi, ifunike kwenye chombo kwa siku kadhaa, itaoza na kutengeneza wadudu; hapo nyama inakuwa imegeuka na kutengeneza kiumbe kipya wadudu; na wale wadudu watakuwa wanajamiiana na kuendelea kuzaa​
  • Kwa mfano huo, inawezekana binadamu naye alikuja kwa mfumo huo.​
 
Kwa sayansi yangu ambayo naifanyia utafiti:-​
  • Chukua nyama mbichi, ifunike kwenye chombo kwa siku kadhaa, itaoza na kutengeneza wadudu; hapo nyama inakuwa imegeuka na kutengeneza kiumbe kipya wadudu; na wale wadudu watakuwa wanajamiiana na kuendelea kuzaa​
  • Kwa mfano huo, inawezekana binadamu naye alikuja kwa mfumo huo.​
Hiyo nyama Ina wadudu tayari ukiangalia kwenye microscope utaona.
 
Nimekua na maswali yasiyo na majibu.

Kwenye Sayansi tunaambiwa binadamu wametokana na evolution process kwamba ni zao na masokwe sijui nyani.

Kwenye imani za kidini tunaambiwa Mungu aliumba adam na Hawa ndio mwanzo.

swali langu

1. Kwenye sayansi
Je hao nyani au sokwe waliofanya evolution na kuwa binadam kamili walitokea wapi, nani aliwatengeneza au kuwaumba cahnzo chao ni kipi haswa. Maana kila kitu kina chanzo uki trace back chanzo chako utawakuta babu zako zako na grand groundfather na kurudi nyuma huko sasa hawa wa mwanzo wanatokea wapi au ni umbali wa historia kiasi cha kwamba jibu linakosenakaa?

2. Kwenye Imani Bible na quran
Je kabla ya kuumbwa Adam na Eva kulikua na nini?
Mungu alikua anafanya nini?
Nani alimuumba Mungu?
Aliyemuumba Mungu ni nani?
Mwanzo ni upi?


Mawazo yangu;
Inawezekana tunakosa taarifa za awali kwasababu ya ufinyu wa taarifa za nyuma na upungufu au ukosefu wa teknolojia wa kipindi hicho.

Naamini hivi kama leo kuna watu wanaamini watu wanafufuliwa basi namimi naweza kuaminisha watu wapya au vizazi vipya kwamba watu wanatengenezwa maabara kwa uwezo wa biological tecnologies na watu hawa wakaamini pasipo shaka.

Je majibu tunayopewa kwa sasa yanajitosheleza kiasi gani?
Yana ukweli kiasi gani?
Ikiwa unaweza kuaminisha kizazi kimoja kw ataarifa fulani na hizo taarifa zikawa passed kwa vizazi vijavyo na kuaminika pasipo na shaka. (kama ilivyo taboo mbalimbali zisizo na uhalisia au ukweli wowote katika maisha ya kawaida)

Mimi nadhani kuna ukosefu wa taarifa zote.
Na hizi taarifa zimeanza kutunzwa kwa umakini katika kizazi au generation fulani.

Nini maoni yako?
Naona Biology ya form iv ulifundishwa na mwalimu kilaza, ama ni wewe hukuielewa mada.

Tofautisha vitu viwili
1. Theories of Origin of life

2. Theories of organic evolution( hapa ndio tunamkuta Charles Darwin na Lamark)

Theories of organic evolution zimeelezea mabadiliko ya kimaumbile ya viumbe , haijaelezea kuwa hao viumbe wametoka wapi

Theories of origin of life ndio zinaelezea maisha au uhai umetoka wapi ,wala haisemi binadamu katokana na nyani, hivo swala la dini ni moja ya theory of origin of life.

Sasa vilaza wanaichalenge theory of organic evolution kwa kupitia moja ya theory of origin of life wakati ni mambo mawili tofauti.

NB: Hizo theory sio sheria, unaweza zi challenge kwa kufanya pia tafiti, mfano ile ya Jean lamark ilionekana dhaifu baada ya Gregory Mendel kungundua mambo ya Genetics
 
Naona Biology ya form iv ulifundishwa na mwalimu kilaza, ama ni wewe hukuielewa mada.

Tofautisha vitu viwili
1. Theories of Origin of life

2. Theories of organic evolution( hapa ndio tunamkuta Charles Darwin na Lamark)

Theories of organic evolution zimeelezea mabadiliko ya kimaumbile ya viumbe , haijaelezea kuwa hao viumbe wametoka wapi

Theories of origin of life ndio zinaelezea maisha au uhai umetoka wapi ,wala haisemi binadamu katokana na nyani, hivo swala la dini ni moja ya theory of origin of life.

Sasa vilaza wanaichalenge theory of organic evolution kwa kupitia moja ya theory of origin of life wakati ni mambo mawili tofauti.

NB: Hizo theory sio sheria, unaweza zi challenge kwa kufanya pia tafiti, mfano ile ya Jean lamark ilionekana dhaifu baada ya Gregory Mendel kungundua mambo ya Genetics
Kwa ulichoandika unakubaliana namimi kwamba hatuna taarifa sahihi au majibu sahihi juu ya mwanzo wa mwanadamu na viumbe vyengine vyote? Tunategemea ushawishi wa theories mbalimbali zilizofanyiwa study ambazo umekubali zinaweza kuwa challenged wakati wowote.
 
Mkuu maswala ya Adam na Eve yapo kwenye Dinu chache tu sio zote yapo kwenye ukristo,Uyahudi na Uislamu ukienda dini zingine hakuna Hiyo Hadithi ya kuumbwa mtu mmoja,

Na hata ukiangalia Umri wa dunia kwenye dini hizo tatu ni miaka 6004 na Dini zingine zinapishana ukisoma Hindu,Budha dini za kisamalia na dini za kigiriki zote zinapishana na Adam na hawa unaowaswma
Asante kwa kuniongezea wigo wa tafakuri.
 
Sasa unauliza vipi vitu hata usivyo vijua ? Unajitambua kweli wewe ?
Usinishambulie ndugu, kuuliza sio ujinga.

Kama unacho cha kunielimisha nitapokea na kushukuru.

Inawezekana yakaoneka maswali ya kijinga kwako kwasababu una majibu yake au unajua zaidi, tujuze zaidi na sisi.

Kingine kuwa mkarimu hata wajinga tuna michango yetu kwenye jamii hata kama ni midogo.

Amani.
 
Kwa ulichoandika unakubaliana namimi kwamba hatuna taarifa sahihi au majibu sahihi juu ya mwanzo wa mwanadamu na viumbe vyengine vyote? Tunategemea ushawishi wa theories mbalimbali zilizofanyiwa study ambazo umekubali zinaweza kuwa challenged wakati wowote.
Ni kweli, ila nilitaka utofautishe kati ya mwanzo wa uhai na viumbe, na mabadiliko ya viumbe
 
Back
Top Bottom