Hili halihitaji viongozi kukemea...ni jukumu langu,na wewe kuhakikisha tunazua kama sio kufuta kabisa mmomonyoko wa maadili...kuna namna nyingi sana tunaweza kupambana na hili...mfano kupiga bhan uvaaje usiozingatia maadili kwenye public places! Kwenye dala dala n.k