Huu uvaaji wa vijana wavulana kwa wasichana siku hizi umekuwa wa kusikitisha sana Viongozi wapo busy na mambo Yao huku jamii maadili yanazidi kubomoka uvaaji mlegezo sasa ni rasmi Pia vinguo vya kubana kwa akina mama navyo vinaelekea kubaya zaidi na Hakuna kiongozi atakayethubutu kulikemea hili janga linalovuruga maadili kwenye jamii