mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,336
Habari za muda huu wadau,
Nauliza kwenu hivi naweza kupata wapi vifaa vya kutengeneza ''Mini Tv cable"..Yani nakua na visimbuzi vitatu Azam,DSTv na startimes halafu na vicombine chanell zake naangalia kwenye tv 3 tofauti pia.
Let say Nina king'amuz Cha Azam , DSTv na startimes.. ..jikon. waangalie Sinema zetu wakimalza wanahamia magic Swahili au starswahili.
Wakati huohuo sebleni waangalie supersport 3 bila kubadil king'amuz wanaeza kuangalia tv3 ama azamsport1?
Nauliza kwenu hivi naweza kupata wapi vifaa vya kutengeneza ''Mini Tv cable"..Yani nakua na visimbuzi vitatu Azam,DSTv na startimes halafu na vicombine chanell zake naangalia kwenye tv 3 tofauti pia.
Let say Nina king'amuz Cha Azam , DSTv na startimes.. ..jikon. waangalie Sinema zetu wakimalza wanahamia magic Swahili au starswahili.
Wakati huohuo sebleni waangalie supersport 3 bila kubadil king'amuz wanaeza kuangalia tv3 ama azamsport1?