klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,140
Na mimi naongelea fungate.Kama ambavyo wazungu waliianzisha kwa maana yao ndivyo ambavyo na sisi tunaweza kubadili maana kuendana na mazingira yetu.Oh alafu nna njaa...sijala kabisa leo!
waheshimiwa Mbu na Lizzy labda mtupe maana ya fungate kwanza. halaf tutauliza masuali ya nyongeza....fungate muhimu bana, hata mkiwa kwenye ndoa si vibaya mara moja kwa mwaka kujipa fungate!
Mnahitaji muda nyie wawili faragha mbali na majukumu yenu ya kila siku ku 'refresh!'
Kwa hao wana ndoa, acha nao wapumzike baada ya heka heka za kuandaa harusi.