Naomba wanaofahamu wanisaidie. Je ku-unlock modem niliyoinunua kwa fedha taslimu (sizungumzii zile modem za contract kama zipo) je ni kinyume cha sheria?
Bahati mbaya sinavyo hivyo vikaratasi maana modem yangu nimenunua miaka mingi na vikaratasi hivyo sikuzitunza! Kwa maelezo yako tu naona kutakuwa na restrictions! Huenda umeshasoma! Na kwanini wazuie hilo. Kwani ni ya kwao! Mi naona hapo kuna mtego mbaya!
Hauvunji sheria, ila unaweza ukavoid warranty kama ipo. Wanalock modems kwasababu bei ya hizo modems ziko subsidized yaani wanaziuza kwa hasara wakitegemea watarudisha kwa kukuuzia service.
Hauvunji sheria, ila unaweza ukavoid warranty kama ipo. Wanalock modems kwasababu bei ya hizo modems ziko subsidized yaani wanaziuza kwa hasara wakitegemea watarudisha kwa kukuuzia service.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.