Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Mimi nakumbuka wakati mdogo nipo darasa la nne (4) nilienda jikoni nikaiba mandazi matatu nikapanda kitandani ili nile yale mandazi huku nimejilaza kitandani usingizi ukanipitia. asubuhi Mother kuingia chumbani kayakuta mandazi yamesambaa kitandani mimi nimelala. nilichezea bakora sana...endeleza na wewe kituko chako cha utotoni