Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,833
Nilipokua mdogo nilikua nasumbuliwa sana na kifua. Sasa cku moja nikamsikia bro akisema dawa ya kifua ni pombe kali. Nakumbuka cku moja ya xmas kifua kilikua kinakwaruza, mi nikaingia room kwa dingi kulikua na chupa ya whisky nikaanza kuinywa! Muda huo ndugu zangu walikua wako huko nje wanapiga stori. Basi ili nisikamatwe nikafunga mlango wa nje kwa ndani nikaendelea kujimiminia kilaji. Si nikalewa nikaishia usingizini! Unaambiwa cku hiyo watu wote walilala nje! Gonga mlango.. Wapi! Duh..
Du, huenda dingiyo alikuwa na mahamu na mkewe, kaharibu ladha yote.