Aisee utamu wa hiki kitoweo sitofautishi na utamu wa kale kamchezo ka watu wazima
ukitaka kujua madhara ya kitomoto angalia post na comment za walaji
mmh mimi ni mkristo lakini hiyo nyama imenishinda jamani kwanza ile harufu yake tu huwa inanifanya nihisi kutapika, huwa sielewi watu wanaipendea nini
Kiti moto ni dhambi na ni haramu! na wote wanaokaa kwenye bustan wakila nyamba ya ngurue watachomwa siku ile asema bwana
HAPA NINA COMMENT NINAYO kwenye gari narudi nayo home mama watoto ameandaa ugali na mboga za majani kwa ajiri ya kumsukumia huyu mdudu usiku wa leo.
Uspecial upo kwenye inapopingwa....Jamani nitoeni ushamba, hivi kitimoto kwa wakristo ni nyama special( maalum)? Kwa maana utakuta watu wanachukuana twendeni tukale kiti moto, wanafunga safari, au tutoe out mkuu tukale kitimoto, sasa najiuliza, Je hii nyama ina uapecial gani kwenye ukristo. Au kama si kwenye ukristo, uspecial gani kwa watu binafsi?
Jamani nitoeni ushamba, hivi kitimoto kwa wakristo ni nyama special( maalum)? Kwa maana utakuta watu wanachukuana twendeni tukale kiti moto, wanafunga safari, au tutoe out mkuu tukale kitimoto, sasa najiuliza, Je hii nyama ina uapecial gani kwenye ukristo. Au kama si kwenye ukristo, uspecial gani kwa watu binafsi?
Kiti moto ni dhambi na ni haramu! na wote wanaokaa kwenye bustan wakila nyamba ya ngurue watachomwa siku ile asema bwana
Uspecial upo bana na ndiyo maana huwasikii wakimpigia kelele ngamia au smainofu... AhahahahaaaBata, sungura, nguruwe, ngamia ni kundi moja wanyama najisi
Hakuna u-spesho wowote
Mmeambiwa mle mkizidiwa sijui na makitu gani... Sijui njaa..!!Kiti moto ni dhambi na ni haramu! na wote wanaokaa kwenye bustan wakila nyamba ya ngurue watachomwa siku ile asema bwana
Eh aisee
Mi mwekyewe bata simli ... Na vipo vingi tu wewe huli.. Wenzio wanabezi kwenye dini na si harufu...mmh mimi ni mkristo lakini hiyo nyama imenishinda jamani kwanza ile harufu yake tu huwa inanifanya nihisi kutapika, huwa sielewi watu wanaipendea nini
mmh mimi ni mkristo lakini hiyo nyama imenishinda jamani kwanza ile harufu yake tu huwa inanifanya nihisi kutapika, huwa sielewi watu wanaipendea nini