Hivi Kitimoto ina Uspecial gani?

Hivi Kitimoto ina Uspecial gani?

Ni ujinga tu hakuna lolote special kwenye nyama hii!Na hii tabia ipo sana tu kwa Watanzania !watu wamejaa ujinga pamoja na digrii zao!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Digrii inahusiana nn na utamu wankitimoto?huku ndo kusoma halaf huelimiki sasa unahusianisha vitu ambavyo hata havihusiani
 
Yaani roho umeniuma! Mmenitamanisha kweli, nikirudi TZ mimi nitakula kiti moto mpaka nichanganyikiwe. Aiseee hii kitu ni tamu ile mbaya

uko nchi gani ya Wakoloni Waarabu tukuelekeze jinsi ya kuipata?
 
Hiyo nyama,a.k.a toto noah ni balaa sijawahi ona nyama tama kama nguruwe na ndiyo nyama yenye a.k.a nyingi,kitimoto,mdudu.mbao,noah,mkuu wa meza,mbuzi katoliki na............,ni hatari

Umesahau mbuz katoliki
 
ukitaka kujua uspecial wake njoo arusha kwa shabani mwabie akuonjeshe walau kinyango kimoja af utapata jibu, af chakushangaza wauzaji. sehemu nyingi ni wenzetu wa dini ya pili, kama shabani. arusha, rashidi dodoma, na ukienda tabora pale game kuna jamaa anaitwa omari we muulizie,

Huko mbali aje Dagaa Dagaa tu ale moja ya kuchoma nn furesh
 
Atuambie kama hajawah kunyonywa papuchi yake na je papuchi ina harufu gani hata ikipigwa manukato?
Mdudu aka kitimoto for life
....Mkuu, umekuwa Mkweli zaidi maana katika post yangu kidogo nilijaribu kuficha ficha. Ebu aje kujibu huyo aliesema Nyama ya Kitimoto ina harufu mbaya.
 
Back
Top Bottom