Hivi Kitimoto ina Uspecial gani?

Hivi Kitimoto ina Uspecial gani?

Jamani nitoeni ushamba, hivi kitimoto kwa wakristo ni nyama special( maalum)? Kwa maana utakuta watu wanachukuana twendeni tukale kiti moto, wanafunga safari, au tutoe out mkuu tukale kitimoto, sasa najiuliza, Je hii nyama ina uapecial gani kwenye ukristo. Au kama si kwenye ukristo, uspecial gani kwa watu binafsi?

Ukitaka kujua uhondo wa ngoma uingie ucheze!
 
Duh, pale shekilango, ilipokuwa vijana social hall, kipo cha kuchoma na ugali.......wewe utapenda
 
umedanganywa fanya tafit au kula sana nguruwe utaona madharal yake ingia google uone
 
Dah! ndo nini tena kutufanyia hivyo hiyo nyama hata kuku inasubiri
 
Hao waukula so wakristu, waristo wamkatazwa na maandiko yao matakatifu kula nguruwe
 
bukoba kg moja mbichi 4000
ikiwa imepikwa 6000 tu
_nikienda bk chakula changu huwa ni kiti moto tu hadi siku naondoka
 
Tena anaipenda mnooooo huwa ananishangaa kwanini inanishinda, anadai hakuna nyama tamu kama hyo

Kuna yule nguruwe pori anaitwa ngiri, dah ukibahatika kumuonja yule hutaacha, ingekuwa karibu ningekuletea mrsleo
 
Last edited by a moderator:
Mi huwaga najiuliza hv n kwanini wakati wa mfungo, pia mauzo ya huyu mdudu hudorora hasa wakati wa mchana? ! Cjapata majibu
 
Jamani nitoeni ushamba, hivi kitimoto kwa wakristo ni nyama special( maalum)? Kwa maana utakuta watu wanachukuana twendeni tukale kiti moto, wanafunga safari, au tutoe out mkuu tukale kitimoto, sasa najiuliza, Je hii nyama ina uapecial gani kwenye ukristo. Au kama si kwenye ukristo, uspecial gani kwa watu binafsi?

ni special mno kwa watu special pekee. Mkristo amefundishwa upendo. ni wachache wanaopeleka nyumbani maana watoto wa ma mdogobwakijua watasusa kula chakula kwetu. hivyo kwa madhumuni ya umoja bora kutika out special kwa watu special.
 
Jamani nitoeni ushamba, hivi kitimoto kwa wakristo ni nyama special( maalum)? Kwa maana utakuta watu wanachukuana twendeni tukale kiti moto, wanafunga safari, au tutoe out mkuu tukale kitimoto, sasa najiuliza, Je hii nyama ina uapecial gani kwenye ukristo. Au kama si kwenye ukristo, uspecial gani kwa watu binafsi?

Kwa kifupi huyo mdudu ana faida zifuatazo

1.Ulaji wa kt moto unasaidia kupunguza uzito kwa sababu nyama yake ina protini nyingi.Mwilli hutumia nguvu nyingi kumeng'enya protini na ivyo kuletea kupunguza uzito wa mwili

2.Ina madini ya chuma nyingi na hivyo inasaidia kuongeza kiwango cha damu

3.Ina vitamini nyingi muhimu kwa mifumo mbalimbali ya mwili

4.Ina ladha tamu

5.Inakuwa na ladha ya kipekee sana ukishushia na bia baridi.
 
Hao waukula so wakristu, waristo wamkatazwa na maandiko yao matakatifu kula nguruwe

unawazungumzia wayahudi na si wakristo. pia unawazungumzia wasabato sio wakristo.

mkristo hula kila kiitwacho chakula, kwake kimtiacho mtu unajisi sio chakula bali matokeo ya mawazo ya moyo wake.

soma mathew 15:1-20 na matendo 10:1-18 utajua
 
Back
Top Bottom