Hivi kati ya Jose Chamelione na Diamond Platnumz nani ana pesa?

Mondi kelele nyingi kokoro nyingi sanaaa ila Kuna wasanii mambo swaaf wametulia. Pesa za ukubwani ni zinakuwaga na mcheche sana
 
Mondi kelele nyingi kokoro nyingi sanaaa ila Kuna wasanii mambo swaaf wametulia. Pesa za ukubwani ni zinakuwaga na mcheche sana
Mnamuonea tu kijana wa watu mbona hata hao akina chameleon wana show off.
Kuna kipindi alinunua snicker zina thamani ya Mils kama 14 za kibongo mbona alijitangaza.
Bebe cool naye mbona ana show off sana tu sema ni kuwa wabongo hatuwafuatilii.
Njoo kenya jaguar na prezoo wana show off sana tu
 
Chameleon hana nyumba south, hana mkataba na universal,unaweza kuwa kwenye game kitambo lakini ukazidiwa na mtoto wa juzi
Hivi wewe unacheza na wasanii wa Uganda kwa sababu tu huwaoni instagram. Wewe unaongelea nyumba south Africa wakati kuna jamaa ana mansion London.
 
kwenye mali mtachemsha jamaa ana ndinga kali zote uzijuazo mpk juzi kaamua kuchukua mercedes old ya miaka ya 70,wrangler,ferrari,jeeprange anamiliki,sa ingine muache kelele kuna wanamuziki wana hela chafu hawaongei na show zao wanapiga kimya kimya.
Mwenzie ndo ana dream kunununua rolls Royce. Kitambo jamaa ana pimp hummer. Tuwe wakwel Jose Chameleon mambo ya Real estate amefanya zaman ukiacha muziki ndo yanayomuingizia kipato, kupga show jamaa keshakaa jukwaa moja na Jigger, Leone Island ni record Label ya wasanii karibia robo Uganda. Wasafi Bado kidogo.


Ndo nijuavyooo
 
Kuanza kumsikia mtu zamani si kigezo cha kumfanya awe na pesa ndefu.
Kuna watu wameanza game kitambo lakini wanapitwa mpunga na walioanza game miaka minne iliyopita.

Mkuu siku nyingine uwe unatumia ' akili ' kidogo tafadhali. Kama uko ' smart ' upastairs ukisoma tu nilichokiandika utaweza kuelewa nini nimekimaanisha na badala yake umekuja na ' hoja ' mfu kabisa ya kunijibu. Bahati nzuri sana nimesoma na kukulia sana Nchini Uganda na naweza kusema Uganda is my second home na huyo Msanii Jose Chameleone nimeanza kumjua kama Mwanamuziki ' mahiri ' na ' tajiri ' takribani miaka 15 iliyopita na hata ukitafiti tu mwenyewe kati ya Jose Chameleone na Diamond nani ni ' tajiri ' hakuna ' ubishi ' kuwa Mganda Jose Chameleone ana ' mtonyo ' wa uhakika halafu hana tu ' Pesa ' lakini pia ana ' assets ' za kutosha ambazo ameweza kuwa nazo nchini Uganda muda mrefu tu wakati huku kwetu ndiyo kwanza Diamond ndiyo anaanza kuwa nazo. Kwanza naona kumpambanisha Jose Chameleone ' Kiutajiri ' na Diamond ni ' kumtusi ' au ' kumdhalilisha ' tu Mganda wa Watu.
 
Mkuu siku nyingine uwe unatumia ' akili ' kidogo tafadhali. Kama uko ' smart ' upastairs ukisoma tu nilichokiandika utaweza kuelewa nini nimekimaanisha na badala yake umekuja na ' hoja ' mfu kabisa ya kunijibu. Bahati nzuri sana nimesoma na kukulia sana Nchini Uganda na naweza kusema Uganda is my second home na huyo Msanii Jose Chameleone nimeanza kumjua kama Mwanamuziki ' mahiri ' na ' tajiri ' takribani miaka 15 iliyopita na hata ukitafiti tu mwenyewe kati ya Jose Chameleone na Diamond nani ni ' tajiri ' hakuna ' ubishi ' kuwa Mganda Jose Chameleone ana ' mtonyo ' wa uhakika halafu hana tu ' Pesa ' lakini pia ana ' assets ' za kutosha ambazo ameweza kuwa nazo nchini Uganda muda mrefu tu wakati huku kwetu ndiyo kwanza Diamond ndiyo anaanza kuwa nazo. Kwanza naona kumpambanisha Jose Chameleone ' Kiutajiri ' na Diamond ni ' kumtusi ' au ' kumdhalilisha ' tu Mganda wa Watu.
Mimi mwenyewe nimesoma Uganda since 1996 primary yote na O level yote.
And by the way hoja yangu ilikuwa mtu kuanza kusikika kitambo siyo hoja ya kumfanya awe na pesa nyingi.
Hakuna sehemu nimebisha kuwa chameleone ana ela zaidi ya diamond ila nimepingana na kigezo chako ulichotumia kufikia hiyo conclusion.
 
Jarida maarufu la Forbes na Kituo cha Channel O wametoa orodha ifuatayo ya wanamuziki 10 matajiri zaidi Afrika:
10. Jose Chameleone
Jose (or Joe) Chameleone is a Ugandan artiste who found his niche blending traditional Ugandan folk music, a bit of rumba and a heavy reggae influence. He sings in English, Swahili and Luganda. His mansion outside of Kampala and four cars (including a Cadillac Escalade and a Benz) are evidence of his success, particularly with his hit, ValuValu. He’s been credited with changing the face of music in Uganda, as well as making local music accessible to the rest of the world.
9. Banky W
Born Olubankole Wellington in the U.S, Banky W moved back to Nigeria and grew up in Lagos, where he began singing at an early age. Finding success early in singing competitions, most of his wealth has come from endorsement deals with companies such as Etisalat mobile and Samsung in Nigeria. He also started the Mr Capable Foundation, an education charity that provides tuition scholarships for disadvantaged children.
8. Hugh Masekela
Musical sensation Hugh Masekela is a South African artiste who plays variety of instruments including the trumpet, flugelhorn and cornet, along with singing and composing his own work. He has been highly praised for his work, with everything from a Grammy nomination to the Order of the Ikhamanga by President Jacob Zuma (for achievements in arts, culture, literature, music, journalism and sports in South Africa.) He has graced prestigious festivals across the world. He is perhaps best known for his acapella style singing and collaboration with Paul Simon and Ladysmith Black Mambazo on the Graceland album and 1987 Graceland tour.
7. 2 Face Idibia
Nigerian singer and songwriter, 2Face Idibia, began his career as a member of the hip hop group, Plantashun Boyz, but went solo in 2004 after the group split. His most popular song, African Queen, took off after being featured in the movie Phat Girlz in 2006, but all of his five albums have been very well received around the world. His wealth comes from various real estate investments across Nigeria, as well as the $80,000 he commands per show.
6. Fally Ipupa
Fally Ipupa, a former member of Quartier Latin International (along with Koffi Olomidé, to be mentioned later), went solo in 2006 and has been incredibly successful, both in his home country of the Democratic Republic of the Congo as well as internationally. With MTV Africa Music and Kora awards under his belt, he’s racked up clothing endorsement deals in Paris as well as high commissions for his shows across the world which are almost always sold out.
5. Salif Keita
Born and raised in Mali, singer and songwriter Salif Keita has been referred to as the “Golden Voice of Africa,” with his original take on Afro pop music. Despite his royal heritage (he’s directly descended from Sundiata Keita, the founder of the Mali Empire), he chose a path of music, bucking the Malian caste system. But this means that he was loaded even before his music career took off, explaining his private island and properties across Europe.
4. Koffi Olomidé
Along with fellow Congolese star, Fally Ipupa, Koffi Olomidé formed Quartier Latin as lead singer and vocalist before launching his solo career. Dubbing his style of music as tchatcho, he considers it a blend of soukous music (dance music that originated from African rumba music). He’s notorious for taking on controversial subjects in his lyrics, which has led him to be widely praised and criticised worldwide. Raking in over 100,000 Euros per show, Olomidé is extremely popular across Africa and the world. One of his albums is listed in Robert Dimery’s book, “1001 Albums You Must Hear Before You Die.”
3. D’Banj
Dapo Daniel Oyebanjo, D’Banj aka the Koko Master, has been killing it in his country, Nigeria and around the world since 2007, and was the first African artiste who signed with the music label GOODMusic, owned by Kanye West. The recipient of countless awards, D’Banj is known for his unique sound of dance music and afro beats. He is involved in a variety of investments including a nightclub in Nigeria, brands such as Koko water, and was given his own reality show, “Koko Mansion.” He also rakes millions in shows and brand endorsements.
2. P-Square
P-Square is made up of identical twins, Peter and Paul Okoye, who began singing and dancing together back in their small Catholic high school in Jos, Nigeria. After forming the group in 2005, their music developed a devoted following, particularly in South Africa, and each album outsold the previous one. They were named Artistes of the Year at the 2010 Kora Awards and now bring in more than $150,000 per show. Best of all, their shared home is worth more than $3 million and has been dubbed “Squareville.” Talk about product placement!
1. Youssou N’dour
Not surprisingly, YoussouN’dour brings it home in the No. 1 spot. This Senegalese singer is widely considered the most famous singer alive in Senegal and much of Africa. His style of music is known as mbalax, a mix of Senegalese traditional music in the Serer language and various styles from around the world including Cuban rumba, hip hop, jazz and soul. With millions around the world in his fan base, he is now the owner of the biggest media house in Senegal (complete with radio and TV stations) and was appointed tourism and culture minister in 2012. More importantly, before K’naan had “Waving Flag” in 2010, N’dour was responsible for the 1998 FIFA World Cup national anthem, “La Cour des Grands,” along with Axelle Red.
 
Jose Chameleone net worth $ 5 million.
Diamond Platnumz net worth $ 4 million.
We na akili zako timamu kabisa unaamini kuwa Diamond anamiliki mabilioni kwenye account yake?

We bila shaka utakuwa unaishi mikoani huko ila tulio mjini tunaona kabisa kwa macho yetu jamaa Hana kitu sifa tu zimemjaa.

Diamond gari anayotamani kununua ni Royce rolls na thamani yake kwa uchache ni $304,350 na huyu alivyokuwa mpenda sifa kama angekuwa ana miliki $4 million angekuwa kishanunua hiyo ndinga tena hata mbili kwa mkupuo ili awanyime wapinzani wake usingizi.

Juzi kati katoka kutimuliwa kwenye nyumba ambayo ndio ilikuwa studio za wasafi pale Sinza.

Kama angekuwa na $4 milioni bila shaka asingekubali kupata aibu ya kutimuliwa angempa huyo mwenye nyumba milioni kama 150 akanunua hiyo nyumba Au angeenda kununua nyumba nyingine Mitaa ya Sinza aweke studio yake sehemu Tulivu ila mpaka leo bado kapanga Sinza sehemu ulipo studio ya wasafi.

Usisahau kuwa Diamond kamaliza kujenga nyumba yake mwaka jana nyumba ambayo kaanza kuijenga toka anatamba na mbagala yaani kifupi kajenga nyumba yake moja kwa miaka mitano na miaka yote alikuwa amepanga upande tu Sinza sasa kwa akili zako mtu mwenye $4 million angehitaji kupata shida kwenye nyumba za kupanga?

Acha kudanganyika.
 
We na akili zako timamu kabisa unaamini kuwa Diamond anamiliki mabilioni kwenye account yake?

We bila shaka utakuwa unaishi mikoani huko ila tulio mjini tunaona kabisa kwa macho yetu jamaa Hana kitu sifa tu zimemjaa.

Diamond gari anayotamani kununua ni Royce rolls na thamani yake kwa uchache ni $304,350 na huyu alivyokuwa mpenda sifa kama angekuwa ana miliki $4 million angekuwa kishanunua hiyo ndinga tena hata mbili kwa mkupuo ili awanyime wapinzani wake usingizi.

Juzi kati katoka kutimuliwa kwenye nyumba ambayo ndio ilikuwa studio za wasafi pale Sinza.

Kama angekuwa na $4 milioni bila shaka asingekubali kupata aibu ya kutimuliwa angempa huyo mwenye nyumba milioni kama 150 akanunua hiyo nyumba Au angeenda kununua nyumba nyingine Mitaa ya Sinza aweke studio yake sehemu Tulivu ila mpaka leo bado kapanga Sinza sehemu ulipo studio ya wasafi.

Usisahau kuwa Diamond kamaliza kujenga nyumba yake mwaka jana nyumba ambayo kaanza kuijenga toka anatamba na mbagala yaani kifupi kajenga nyumba yake moja kwa miaka mitano na miaka yote alikuwa amepanga upande tu Sinza sasa kwa akili zako mtu mwenye $4 million angehitaji kupata shida kwenye nyumba za kupanga?

Acha kudanganyika.
Alitimuliwa kwenye hiyo nyumba si kwasababu alishindwa kulipia kodi na tena alitaka kuinunua kabisa mwenye nayo akakataa.
walimtimua kwasababu ya makelele waliyokuwa wanasababisha yoo yoo nyingi
 
Kwahiyo kuanza zaman game ndio kuwa na hela nyingi? Sikujua kama nawewe ni killaza hivo

Soma post yangu # 29 ili iweze kukusaidia kutoa ' funza ' waliokithiri katika ' ubongo ' wako. Na ndiyo maana nimefurahi mno jana hatua iliyochukuliwa na Waziri wa Elimu wa kubadilisha kabisa ' mfumo ' wetu wa Elimu nchini Tanzania kwani ' wapuuzi ' kama Wewe mlikuwa mmejazana sana. Katika post yangu ile ya mwanzo nimeandika mengi sana ila nasikitika kuwa ulichokiiona Wewe ni hapo tu katika neno " amenza game muda mrefu ' huku ukiwa umeacha ' nondo ' zingine nilizoziweka. Kwa aina ya upungufu wenu wa akili baadhi yenu humu nitazidi tu ' kuwadharau ' hadi mpasuke. Ushauri wangu tu muhimu kwako ' jibiidishe ' mno katika ' kujijenga ' kifikra na kiupeo kwani unaonekana kuwa ni ' mtupu ' sana kunako medulla oblangata yako.
 
Mimi mwenyewe nimesoma Uganda since 1996 primary yote na O level yote.
And by the way hoja yangu ilikuwa mtu kuanza kusikika kitambo siyo hoja ya kumfanya awe na pesa nyingi.
Hakuna sehemu nimebisha kuwa chameleone ana ela zaidi ya diamond ila nimepingana na kigezo chako ulichotumia kufikia hiyo conclusion.

Sioni hata tunachoendelea ' kubishana ' hapa ni nini wakati nimejitahidi mno kukupa maelezo ya kutosha lakini bado tu upo pale pale. Hata hivyo nimefurahi kusikia kuwa kumbe na Wewe umesoma Uganda kwani najua kuwa hata huko Uganda kuna Shule ' kadhaa ' zinazojulikana kwa kuzalisha ' remnants ' hivyo yawezekana ukawa ni ' products ' za ' kutukuka ' kabisa za hizo Shule.
 
Sioni hata tunachoendelea ' kubishana ' hapa ni nini wakati nimejitahidi mno kukupa maelezo ya kutosha lakini bado tu upo pale pale. Hata hivyo nimefurahi kusikia kuwa kumbe na Wewe umesoma Uganda kwani najua kuwa hata huko Uganda kuna Shule ' kadhaa ' zinazojulikana kwa kuzalisha ' remnants ' hivyo yawezekana ukawa ni ' products ' za ' kutukuka ' kabisa za hizo Shule.
Basi sawa Bwana majivuno.
Mimi nimesoma huko kipindi hata upepo wa shule za ovyo haujaanza.
Lakini any way una elements za majivuno.
 
Alitimuliwa kwenye hiyo nyumba si kwasababu alishindwa kulipia kodi na tena alitaka kuinunua kabisa mwenye nayo akakataa.
walimtimua kwasababu ya makelele waliyokuwa wanasababisha yoo yoo nyingi
We unaamini kabisa kuwa kuna nyumba isiyouzwa labda ikulu

Tatizo lilikuwa bei yule alitaka kununua nyumba Sinza kwa bei ya Kigamboni ingewezekana vipi?

Na kweli alikuwa na hela za kununua nyumba bado anaendelea kupanga unataka kusema Sinza nzima alikosa nyumba ya kununua?
 
Chameleon hana nyumba south, hana mkataba na universal,unaweza kuwa kwenye game kitambo lakini ukazidiwa na mtoto wa juzi

Wanaomjua Jose Chameleone ' kindakindaki ' hasa ' Kiutajiri ' na ' Kimafanikio ' wakiona hii post yako wanaweza ' wakakudharau ' hadi ' Kiama '. Nakushauri tu kama unaweza ' ifute ' tu ' fasta ' kabla ya wenye IQ zao ' zilizotukuka ' hawajaingia humu JF na kuiona. Halafu nikuombe tu usipende kusikia maneno ya ' Vijiweni ' bali tumia uwepo wa hii ' mitandao ' ili kuweza kukusaidia kukupa ' data ' nyingi ambazo huna kisha ukija tu humu JF basi unakuwa uko ' nondo ' sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom