Hivi kati ya Jose Chamelione na Diamond Platnumz nani ana pesa?

Basi sawa Bwana majivuno.
Mimi nimesoma huko kipindi hata upepo wa shule za ovyo haujaanza.
Lakini any way una elements za majivuno.

Aliyezaliwa ' uswahilini ', kukulia ' uswahilini ', kuelimika ' uswahilini ' na kuendelea kuishi na kushinda ' uswahilini ' ni lazima awe na ' mawazo ' kama haya. Hata hivyo nimefurahi leo kukujua kuwa kumbe na Wewe ni ' Mswahili ' uliyetukuka. Na ' nitawanyoosha ' tu hadi mjue ' kufikiri ' vizuri.
 
We unaamini kabisa kuwa kuna nyumba isiyouzwa labda ikulu

Tatizo lilikuwa bei yule alitaka kununua nyumba Sinza kwa bei ya Kigamboni ingewezekana vipi?

Na kweli alikuwa na hela za kununua nyumba bado anaendelea kupanga unataka kusema Sinza nzima alikosa nyumba ya kununua?
Muuzaji alimtajia bei kubwa beyond his budget.
Na siyo kila nyumba mtu anaweza kununua kisa iko sinza sometimes labda ile ndiyo aliyoona inakithi mahitaji ya alichotaka kufanya.
Any way sijui anaingiza kiasi gani but atleast ana team ya watu wengi waliomzunguka wanaotegemea kula kupitia yeye na hao waoliomzunguka wanapata vipato vya kukidhi mahitaji yao kuliko watu wengi wenye B.A zao wanaosaka ajira humu kila siku.
Ukiweza kuajiri watu zaidi ya kumi na ukaweza kuwalipa vizuri, wewe siyo mtu wa mchezo mchezo..
 
Soma post yangu # 29 ili iweze kukusaidia kutoa ' funza ' waliokithiri katika ' ubongo ' wako. Na ndiyo maana nimefurahi mno jana hatua iliyochukuliwa na Waziri wa Elimu wa kubadilisha kabisa ' mfumo ' wetu wa Elimu nchini Tanzania kwani ' wapuuzi ' kama Wewe mlikuwa mmejazana sana. Katika post yangu ile ya mwanzo nimeandika mengi sana ila nasikitika kuwa ulichokiiona Wewe ni hapo tu katika neno " amenza game muda mrefu ' huku ukiwa umeacha ' nondo ' zingine nilizoziweka. Kwa aina ya upungufu wenu wa akili baadhi yenu humu nitazidi tu ' kuwadharau ' hadi mpasuke. Ushauri wangu tu muhimu kwako ' jibiidishe ' mno katika ' kujijenga ' kifikra na kiupeo kwani unaonekana kuwa ni ' mtupu ' sana kunako medulla oblangata yako.
Umepoteza mda mwingi kuandika pumba
 
Aliyezaliwa ' uswahilini ', kukulia ' uswahilini ', kuelimika ' uswahilini ' na kuendelea kuishi na kushinda ' uswahilini ' ni lazima awe na ' mawazo ' kama haya. Hata hivyo nimefurahi leo kukujua kuwa kumbe na Wewe ni ' Mswahili ' uliyetukuka. Na ' nitawanyoosha ' tu hadi mjue ' kufikiri ' vizuri.
Lol, basi tu watu tuko nyuma ya keyboard mbwembwe nyingi.
Hivi unaweza jisifu kumnyoosha mtu jf ambaye hata humfahamu.
Basi sawa nimekupa taji la ushindi.
Maana never compete with a fool because he/she will downgrade you to his/her own level and beat you because he/she is an expert in that level.
I'm done with you.
 
Jarida maarufu la Forbes na Kituo cha Channel O wametoa orodha ifuatayo ya wanamuziki 10 matajiri zaidi Afrika:
10. Jose Chameleone
Jose (or Joe) Chameleone is a Ugandan artiste who found his niche blending traditional Ugandan folk music, a bit of rumba and a heavy reggae influence. He sings in English, Swahili and Luganda. His mansion outside of Kampala and four cars (including a Cadillac Escalade and a Benz) are evidence of his success, particularly with his hit, ValuValu. He’s been credited with changing the face of music in Uganda, as well as making local music accessible to the rest of the world.
9. Banky W
Born Olubankole Wellington in the U.S, Banky W moved back to Nigeria and grew up in Lagos, where he began singing at an early age. Finding success early in singing competitions, most of his wealth has come from endorsement deals with companies such as Etisalat mobile and Samsung in Nigeria. He also started the Mr Capable Foundation, an education charity that provides tuition scholarships for disadvantaged children.
8. Hugh Masekela
Musical sensation Hugh Masekela is a South African artiste who plays variety of instruments including the trumpet, flugelhorn and cornet, along with singing and composing his own work. He has been highly praised for his work, with everything from a Grammy nomination to the Order of the Ikhamanga by President Jacob Zuma (for achievements in arts, culture, literature, music, journalism and sports in South Africa.) He has graced prestigious festivals across the world. He is perhaps best known for his acapella style singing and collaboration with Paul Simon and Ladysmith Black Mambazo on the Graceland album and 1987 Graceland tour.
7. 2 Face Idibia
Nigerian singer and songwriter, 2Face Idibia, began his career as a member of the hip hop group, Plantashun Boyz, but went solo in 2004 after the group split. His most popular song, African Queen, took off after being featured in the movie Phat Girlz in 2006, but all of his five albums have been very well received around the world. His wealth comes from various real estate investments across Nigeria, as well as the $80,000 he commands per show.
6. Fally Ipupa
Fally Ipupa, a former member of Quartier Latin International (along with Koffi Olomidé, to be mentioned later), went solo in 2006 and has been incredibly successful, both in his home country of the Democratic Republic of the Congo as well as internationally. With MTV Africa Music and Kora awards under his belt, he’s racked up clothing endorsement deals in Paris as well as high commissions for his shows across the world which are almost always sold out.
5. Salif Keita
Born and raised in Mali, singer and songwriter Salif Keita has been referred to as the “Golden Voice of Africa,” with his original take on Afro pop music. Despite his royal heritage (he’s directly descended from Sundiata Keita, the founder of the Mali Empire), he chose a path of music, bucking the Malian caste system. But this means that he was loaded even before his music career took off, explaining his private island and properties across Europe.
4. Koffi Olomidé
Along with fellow Congolese star, Fally Ipupa, Koffi Olomidé formed Quartier Latin as lead singer and vocalist before launching his solo career. Dubbing his style of music as tchatcho, he considers it a blend of soukous music (dance music that originated from African rumba music). He’s notorious for taking on controversial subjects in his lyrics, which has led him to be widely praised and criticised worldwide. Raking in over 100,000 Euros per show, Olomidé is extremely popular across Africa and the world. One of his albums is listed in Robert Dimery’s book, “1001 Albums You Must Hear Before You Die.”
3. D’Banj
Dapo Daniel Oyebanjo, D’Banj aka the Koko Master, has been killing it in his country, Nigeria and around the world since 2007, and was the first African artiste who signed with the music label GOODMusic, owned by Kanye West. The recipient of countless awards, D’Banj is known for his unique sound of dance music and afro beats. He is involved in a variety of investments including a nightclub in Nigeria, brands such as Koko water, and was given his own reality show, “Koko Mansion.” He also rakes millions in shows and brand endorsements.
2. P-Square
P-Square is made up of identical twins, Peter and Paul Okoye, who began singing and dancing together back in their small Catholic high school in Jos, Nigeria. After forming the group in 2005, their music developed a devoted following, particularly in South Africa, and each album outsold the previous one. They were named Artistes of the Year at the 2010 Kora Awards and now bring in more than $150,000 per show. Best of all, their shared home is worth more than $3 million and has been dubbed “Squareville.” Talk about product placement!
1. Youssou N’dour
Not surprisingly, YoussouN’dour brings it home in the No. 1 spot. This Senegalese singer is widely considered the most famous singer alive in Senegal and much of Africa. His style of music is known as mbalax, a mix of Senegalese traditional music in the Serer language and various styles from around the world including Cuban rumba, hip hop, jazz and soul. With millions around the world in his fan base, he is now the owner of the biggest media house in Senegal (complete with radio and TV stations) and was appointed tourism and culture minister in 2012. More importantly, before K’naan had “Waving Flag” in 2010, N’dour was responsible for the 1998 FIFA World Cup national anthem, “La Cour des Grands,” along with Axelle Red.

Kuna Watu niliposema kuwa Diamond Platnumz si chochote ' Kiutajiri ' kwa Mganda Jose Chameleone na hadi tukajitolea kuwapa ' facts ' chache za kuwasaidia ' wakabisha ' na kusema kuwa nina ' majivuno ' lakini nashukuru Mungu Mkuu Wewe umeenda mbali zaidi na kuja na taarifa ya Jarida linaloheshimika duniani la Forbes na kuweka hiyo orodha hapo ya Wanamuziki / Wasanii wenye ' mtonyo ' Afrika na nimejaribu kutuliza macho yangu nimwangalie Diamond kama yupo sijamwona ila Jose Chameleone namwona hapo # 10. Haya mliokuwa ' mkibisha ' hebu bishieni basi na ushahidi huu ' kuntu ' kabisa wa Forbes.
 
Alitimuliwa kwenye hiyo nyumba si kwasababu alishindwa kulipia kodi na tena alitaka kuinunua kabisa mwenye nayo akakataa.
walimtimua kwasababu ya makelele waliyokuwa wanasababisha yoo yoo nyingi
Usibidhane na uyo jamaa utachoka bure

Mwambie domo kanunua tuzo na views YouTube ndo atakubali lkn iz zingne unapoteza mda tu anayajua maisha ya domo kuliko afya yake
 
Halafu hiyo list ya zamani katafuteni list mpya chameleone hata hayumo kuna akina davido, kuna nani yule ceo wa marvis records kuna mr flavour, kuna wizkid wengine wametoka...
 
Usibidhane na uyo jamaa utachoka bure

Mwambie domo kanunua tuzo na views YouTube ndo atakubali lkn iz zingne unapoteza mda tu anayajua maisha ya domo kuliko afya yake
Jamaa ana hasira na domo kama vile alimdhulumu...
 
Lol, basi tu watu tuko nyuma ya keyboard mbwembwe nyingi.
Hivi unaweza jisifu kumnyoosha mtu jf ambaye hata humfahamu.
Basi sawa nimekupa taji la ushindi.
Maana never compete with a fool because he/she will downgrade you to his/her own level and beat you because he/she is an expert in that level.
I'm done with you.

Na Wewe unaweza kumwambia Mtu kuwa ana ' majivuno ' wakati hata hamjuani humu JF? Mkuu mbona sasa naona kama vile ndiyo umethibitisha kabisa ' ujinga ' wako? Kuhusu ' taji ' la ' ushindi ' nadhani nilishakuwa nalo tokea nipo ' tumboni ' nasubiri kuzaliwa na mpaka sasa Mimi ni ' mshindi ' na bahati nzuri sana huwa sina rekodi ya kushindwa na napenda mno kushinda katika lolote au chochote kile. Hapo katika ' Kiingereza ' kidogo umeniacha Mkuu kwani Mimi sijasoma kama Wewe hivyo nitakushukuru tu kama utanitafsiria ili nami nielewe ulichokiandika.
 
Halafu hiyo list ya zamani katafuteni list mpya chameleone hata hayumo kuna akina davido, kuna nani yule ceo wa marvis records kuna mr flavour, kuna wizkid wengine wametoka...
Iyo record ya 2010 uko tunataka list ya sasa iv
 
Na Wewe unaweza kumwambia Mtu kuwa ana ' majivuno ' wakati hata hamjuani humu JF? Mkuu mbona sasa naona kama vile ndiyo umethibitisha kabisa ' ujinga ' wako? Kuhusu ' taji ' la ' ushindi ' nadhani nilishakuwa nalo tokea nipo ' tumboni ' nasubiri kuzaliwa na mpaka sasa Mimi ni ' mshindi ' na bahati nzuri sana huwa sina rekodi ya kushindwa na napenda mno kushinda katika lolote au chochote kile. Hapo katika ' Kiingereza ' kidogo umeniacha Mkuu kwani Mimi sijasoma kama Wewe hivyo nitakushukuru tu kama utanitafsiria ili nami nielewe ulichokiandika.
Nimechoka kumpigia mbuzi gitaa.
Lets call it a day.
 
Nimeanza kumsikia Jose Chameleone akiwa tayari katika ' game ' huko huko Kwao Uganda miaka ya mwanzoni kabisa ya 2000 tena akiwa tayari ni very ' celeb ' huku Diamond nimeanza kumsikia akianza kuhangaika mwaka 2010 na kuja kuanza ' kutusua ' miaka miwili tu iliyopita. Kumfananisha ' Nguli ' Jose Chameleon na Diamond ni sawa sawa na leo hii utake kumshindanisha Zinedine Yazid Zidane na Paul Pogba. Utajiri alionao leo Diamond mwenzake Jose Chameleone alikuwa nao tayari miaka 10 hadi 12 iliyopita.
Mkuu mbona kawaida tu kwani haiwezekani mtoto kumzidi baba yake pesa hata kama baba yake alizishika kabla.
 
Usibidhane na uyo jamaa utachoka bure

Mwambie domo kanunua tuzo na views YouTube ndo atakubali lkn iz zingne unapoteza mda tu anayajua maisha ya domo kuliko afya yake

Naona umeamua kuja ' kumsaidia ' Basha wako baada ya kuona anaibika na kusumbuka huku. Safi sana Mkuu!
 
Naona umeamua kuja ' kumsaidia ' Basha wako baada ya kuona anaibika na kusumbuka huku. Safi sana Mkuu!
Aliwazalo mjinga ndilo litakalo mtokea.
Unawaza mabasha tu. Una reflect mazingira unayoishi...
Pole sana mkuu ipo siku yatakwisha ila usiwe na hasira na watu sasa..
 
Nimechoka kumpigia mbuzi gitaa.
Lets call it a day.

Kwangu lazima utashindwa tu Mkuu kwani walikuwepo wenzako ' Nguli ' lakini niliwatuliza hivi hivi kama Wewe na nashangaa Wewe sijui umekurupukia wapi huko ulikotoka unataka ' battle ' na Mimi na sasa inakishinda hadi huyo Mkeo hapo juu kaamua kuja kumsaidia ' Basha ' wake. Nimalizie tu kwa kukuomba siku nyingine ukitaka ' kushindana ' na Mimi kwanza hakikisha IQ yake ipo sawa sawa vinginevyo ' knock out ' yangu itakuhusu.
 
Hivi chameleone na platnumz nani ana pesa kuliko mwengine?
Ukishajua kwamba fulani ana pesa kumshinda mwenzake wewe itakusaidia nini? Hii topiki ya kipuuzi kabisa. Usishushe heshma ya JF. Iwe mwanzo na mwisho kuanzisha topiki kama hii. Nadhani umenielewa.
 
Kwangu lazima utashindwa tu Mkuu kwani walikuwepo wenzako ' Nguli ' lakini niliwatuliza hivi hivi kama Wewe na nashangaa Wewe sijui umekurupukia wapi huko ulikotoka unataka ' battle ' na Mimi na sasa inakishinda hadi huyo Mkeo hapo juu kaamua kuja kumsaidia ' Basha ' wake. Nimalizie tu kwa kukuomba siku nyingine ukitaka ' kushindana ' na Mimi kwanza hakikisha IQ yake ipo sawa sawa vinginevyo ' knock out ' yangu itakuhusu.
Kumbe mwenzangu una battle hapa, aisee sikujua kwa hiyo umejiandaa kabisa uko una battle?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom