GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,444
- 108,550
Basi sawa Bwana majivuno.
Mimi nimesoma huko kipindi hata upepo wa shule za ovyo haujaanza.
Lakini any way una elements za majivuno.
Aliyezaliwa ' uswahilini ', kukulia ' uswahilini ', kuelimika ' uswahilini ' na kuendelea kuishi na kushinda ' uswahilini ' ni lazima awe na ' mawazo ' kama haya. Hata hivyo nimefurahi leo kukujua kuwa kumbe na Wewe ni ' Mswahili ' uliyetukuka. Na ' nitawanyoosha ' tu hadi mjue ' kufikiri ' vizuri.