Hivi kama siyo siasa za kijinga, huyu mama alikuwa na kosa gani la kuwekwa ndani?

Nimefuatilia maelezo ya mama na mwenyekiti Wa mtaa aliyewekwa ndani na mkuu Wa mkoa Wa Dar es salaam nimebaini vitu kadhaa ambavyo vinasikitisha hasa katika mstikabari Wa uongozi na viongozi Wa serikali

1. maelezo yaliyokuwa yanatolewa na mama yanajitosheleza hivyo mpaka mkuu Wa mkoa anafikia hatua ya kutoa amri kwa mama Huyo awekwenp ndani sikuona sababu ya kumtia hatiani.

2. mama amekubali kuwa kiwanja kimeuzwa lakini kwa makubaliano na wananchi pamoja na wajumbe na ametaja na tarehe ambapo kulifanyika vikao vilivyobariki uuzwaji Wa ardhi hiyo.

3 mama anajaribu kumuelewesha mkuu Wa mkoa kwa umaridadi kabisa kuwa eneo limeuzwa na pesa IPO, na diwani analijuwa hill na diwani huyo alishiriki katika vikao vyote.

4. Baadhi ya wajumbe ambao wanaonekana kuwa wanachama Wa chama cha mapinduzi ( mmoja kavaa tisheti ya chagua magufuli) wanajaribu kubisha kwa hoja za kuungaunga eti wao huwa hawashirikishwi eti wanaoshiriki ni wajumbe watatu. hoja dhaifu.

polisi wanaamuriwa wamkamate. mpaka hapo sikuona sababu ya kumkamata maana ardhi imeuzwa kwa makubariano ya wananchi na uongozi husika Wa mtaa na mama ana ushahidi wote.

Hizi ni siasa za kipuuzi, umefanya mauzo mbele ya watu ili kupata umaarufu lakini Nina uhakika huyo mama hata mngempeleka mahakama ya Lumumba atawagaragaza. lakini najuwa lengo lako ulitaka uonekane unatumbua ila ukweli unaujuwa huyu mama kwa maelezo pamoja na maelezo ya kuunga unga ya watu wanaomtuhumu, hana hatia

nawasilisha.
Pamoja na Maelezo mengi kuhusu issue hiyo ya kiwanja na kusema mwishoni kuwa mama hana hatia.

Kumbuka kuwa wanainchi wanapolalamikia jambo jua kuwa kuna tatizo mahali aidha kwa Viongozi,mnunuzi au hata huyo mama mwenyewe.

Na ni moja ya majukumu ya viongozi kuhakikisha wanainchi wanakaa kwa amani,kutatua matatizo ya jumla ya jamii husika na pia kuwawekea mazingira mazuri kujijenga kiuchumi.

Huwezi jua labda kawekwa ndani kwa usalama wake baada ya tuhuma kutolewa hadharani mass unaweza kutoka na hasira ikadestroy Mali zako kama utatoka unajigamba 'hamniwezi' ukaamsha hasira kwa jamii yanatokea hayo.

Let's wait and see what next
 
hivi mahakama na viongozi nani anatoa amri ya mtu kuwekwa ndani..? au katiba imewapa viongozi mamlaka hayo..?
Mahakama huwa haimtuhumu mtu wala kumuweka ndani, yenyewe husubiri kusikiliza shitaka na utetezi wa mtuhumiwa na kutoa haki kutegemea uzito wa ushahidi!
 
Nimefuatilia maelezo ya mama na mwenyekiti Wa mtaa aliyewekwa ndani na mkuu Wa mkoa Wa Dar es salaam nimebaini vitu kadhaa ambavyo vinasikitisha hasa katika mstikabari Wa uongozi na viongozi Wa serikali

1. maelezo yaliyokuwa yanatolewa na mama yanajitosheleza hivyo mpaka mkuu Wa mkoa anafikia hatua ya kutoa amri kwa mama Huyo awekwenp ndani sikuona sababu ya kumtia hatiani.

2. mama amekubali kuwa kiwanja kimeuzwa lakini kwa makubaliano na wananchi pamoja na wajumbe na ametaja na tarehe ambapo kulifanyika vikao vilivyobariki uuzwaji Wa ardhi hiyo.

3 mama anajaribu kumuelewesha mkuu Wa mkoa kwa umaridadi kabisa kuwa eneo limeuzwa na pesa IPO, na diwani analijuwa hill na diwani huyo alishiriki katika vikao vyote.

4. Baadhi ya wajumbe ambao wanaonekana kuwa wanachama Wa chama cha mapinduzi ( mmoja kavaa tisheti ya chagua magufuli) wanajaribu kubisha kwa hoja za kuungaunga eti wao huwa hawashirikishwi eti wanaoshiriki ni wajumbe watatu. hoja dhaifu.

polisi wanaamuriwa wamkamate. mpaka hapo sikuona sababu ya kumkamata maana ardhi imeuzwa kwa makubariano ya wananchi na uongozi husika Wa mtaa na mama ana ushahidi wote.

Hizi ni siasa za kipuuzi, umefanya mauzo mbele ya watu ili kupata umaarufu lakini Nina uhakika huyo mama hata mngempeleka mahakama ya Lumumba atawagaragaza. lakini najuwa lengo lako ulitaka uonekane unatumbua ila ukweli unaujuwa huyu mama kwa maelezo pamoja na maelezo ya kuunga unga ya watu wanaomtuhumu, hana hatia

nawasilisha.

Nakushangaa unatoa hukumu kwa hisia tu?! Mama katuhumiwa na wanamtaa wake sio Makonda! Makonda sio mahakama atoe hukumu! kama kuna tuhuma kama hizo Makonda akae kimya? Angekuwa kafuata nini huko mitaani daresalaam? Unataka anyamaze, aonekane kampendelea mama, zizuke hisia kali, Mama akadhurika; Makonda alaumiwe?! Kutuliza mzuka,
kaamuru Mama afikishwe kwenye vyombo vya sheria; mahali salama, haki ipatikane, wazushi na makada waumbuke kama ni fitna za kisiasa!, na Mama kama ana ushahidi kamilifu ataachiwa huru, Makonda hajamtia kizuizini na mamlaka hayo hana!
 
Hivi kuna watu wanafuatilia hayo maigizo!? Bora niangalie Isidingo kuliko hayo maonyesho.
Mi nilikuwa nanogewa na SCANDAL na RHYTHM city za eTv ya SA, bahati mbaya wameondoa channel hii Azam.
 
Hivi kuna watu wanafuatilia hayo maigizo!? Bora niangalie Isidingo kuliko hayo maonyesho.
Acha ujinga wewe akat unalia lia humu kipindi ile tuwachague ulizan asali au, we tulia na wenzako maana mlitaka wenyewe tuliwaonesha nuru mkapenda giza
 
Nakushangaa unatoa hukumu kwa hisia tu?! Mama katuhumiwa na wanamtaa wake sio Makonda! Makonda sio mahakama atoe hukumu! kama kuna tuhuma kama hizo Makonda akae kimya? Angekuwa kafuata nini huko mitaani daresalaam? Unataka anyamaze, aonekane kampendelea mama, zizuke hisia kali, Mama akadhurika; Makonda alaumiwe?! Kutuliza mzuka,
kaamuru Mama afikishwe kwenye vyombo vya sheria; mahali salama, haki ipatikane, wazushi na makada waumbuke kama ni fitna za kisiasa!, na Mama kama ana ushahidi kamilifu ataachiwa huru, Makonda hajamtia kizuizini na mamlaka hayo hana!
Kama umechanganya na kujichanganya vile, ngoja nirudie mara ya tano kusoma tena
 
Kupenda sifaa, na kuchorwa magezetini, kuongelewa mitandaoni! Yy kwake ni burudani tosha!
 
Nimefuatilia maelezo ya mama na mwenyekiti Wa mtaa aliyewekwa ndani na mkuu Wa mkoa Wa Dar es salaam nimebaini vitu kadhaa ambavyo vinasikitisha hasa katika mstikabari Wa uongozi na viongozi Wa serikali

1. maelezo yaliyokuwa yanatolewa na mama yanajitosheleza hivyo mpaka mkuu Wa mkoa anafikia hatua ya kutoa amri kwa mama Huyo awekwenp ndani sikuona sababu ya kumtia hatiani.

2. mama amekubali kuwa kiwanja kimeuzwa lakini kwa makubaliano na wananchi pamoja na wajumbe na ametaja na tarehe ambapo kulifanyika vikao vilivyobariki uuzwaji Wa ardhi hiyo.

3 mama anajaribu kumuelewesha mkuu Wa mkoa kwa umaridadi kabisa kuwa eneo limeuzwa na pesa IPO, na diwani analijuwa hill na diwani huyo alishiriki katika vikao vyote.

4. Baadhi ya wajumbe ambao wanaonekana kuwa wanachama Wa chama cha mapinduzi ( mmoja kavaa tisheti ya chagua magufuli) wanajaribu kubisha kwa hoja za kuungaunga eti wao huwa hawashirikishwi eti wanaoshiriki ni wajumbe watatu. hoja dhaifu.

polisi wanaamuriwa wamkamate. mpaka hapo sikuona sababu ya kumkamata maana ardhi imeuzwa kwa makubariano ya wananchi na uongozi husika Wa mtaa na mama ana ushahidi wote.

Hizi ni siasa za kipuuzi, umefanya mauzo mbele ya watu ili kupata umaarufu lakini Nina uhakika huyo mama hata mngempeleka mahakama ya Lumumba atawagaragaza. lakini najuwa lengo lako ulitaka uonekane unatumbua ila ukweli unaujuwa huyu mama kwa maelezo pamoja na maelezo ya kuunga unga ya watu wanaomtuhumu, hana hatia

nawasilisha.
Mkuu hao watu wanaouliza maswali wengi wao huwa wamepangwa na wamefundishwa nini cha kusema wengi wao huwa ni wanaCCM.

Inasikitisha, hata yule Mkiti wa mtaa wa Gongo la Mboto ni kama alionewa tu kila akitaka kuelekea Makonda alikuwa akimkatisha na kumruhusu yule mama aliyekuwa ameandaliwa kumponda.

Huu ni uonevu but what goes around comes around.
 
Wakati mwingine lazima hatua zichukuliwe.
Kwenye mambo ya ARDHI figisu figisu nyingi sana.
Hawa wenyeviti, wajumbe na madiwani maeneo mengi wameleta migogoro isio lazima.
Sema Tu hakutakiwa kukamatwa na askari wa kiume.
 
Back
Top Bottom