Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Kisura eti naye anataka kubadili awe Kisura Mugizi....teh teh teh
Familia ya Mr Mugizi... Interesting. Kisura nae korofi kama daddy yake tu
Kisura eti naye anataka kubadili awe Kisura Mugizi....teh teh teh
Unashanga!!??
Nakodoa tu mwenzio
kwi kwi kwi...hujasikia Nyerere alipomtilia shaka mtu kuwa he is about kubadili kabila...hakuna kisichowezekana chini ya jua...
Ndoa yangu haiyumbishwi na internet....
Imeshavuka hayo mawimbi
Mbona umeadimika hivyo?na nilivyokumiss hebu tukutane kwa mrombooooo unipe offer ya nyama choma
u said it very well.. thats why you r The Boss.Mazungumzo ya mtu akiwa anonymous huwezi kutumia kuk judge
watu humu hujitoa ufahamu kama njia ya kupunguza stress za maisha
au kuburudika tu...
mimi nawajua watu humu wadada wana majibu hayo lakini in real life ni watu tofauti kabisa
so decent
hahhaha sabau wewe si hubby material thats why unadhani utajua wife material thru comments n threads za JF. Wise up man.Asilimia kubwa ya mabinti humu JF hawafai kuolewa,wana majibu mabaya mno yaani ukipata mke JF lazima awe bomu tu,kwenye thread tu wanavyoreply kama waliokata tamaa au wanakomoa wanaume.
Wachache sana nadhani,ila asilimia kubwa bana hamna kitu.Ukiona mrembo anajibu vibaya humu ujue hata live kachoka kabisa kakata tamaa anakuja kutukana wanaume humu.
UKIPATA MKE JF LAZIMA UJE KULALAMIKA JF
Hayajanikuta kabisa
Basi tu wajanja wajanja,hujambo lakini