Hivi JF kuna wife material kweli?

Hivi JF kuna wife material kweli?

Asilimia kubwa ya mabinti humu JF hawafai kuolewa,wana majibu mabaya mno yaani ukipata mke JF lazima awe bomu tu,kwenye thread tu wanavyoreply kama waliokata tamaa au wanakomoa wanaume.

Wachache sana nadhani,ila asilimia kubwa bana hamna kitu.Ukiona mrembo anajibu vibaya humu ujue hata live kachoka kabisa kakata tamaa anakuja kutukana wanaume humu.

UKIPATA MKE JF LAZIMA UJE KULALAMIKA JF
Khaa!! Ebana wanawake wote ni wife materials. Cha msingi mkutane mnaoendana tena kwa vitu vidogovidogo halafu vya kijinga sana ( perfect match). Siyo wewe unapenda kupunga upepo wakati mwenzako anapenda kulalalala you ll never make it
 
Khaa!! Ebana wanawake wote ni wife materials. Cha msingi mkutane mnaoendana tena kwa vitu vidogovidogo halafu vya kijinga sana ( perfect match). Siyo wewe unapenda kupunga upepo wakati mwenzako anapenda kulalalala you ll never make it

Mkuu kidogo nakubali ila wa kupata kumachi naye ni kazi mno
 
Nilikuwa namfahamu mmoja tu The Boss...kuanzia leo natangaza rasmi kuwa hatujuani...


Hehe..hiyo haiondoi ukweli kuwa The Boss anakufaham. Na ukicheza kidogo hata ndoa yako itakuwa matatani, nasikia eti vidume wa humu wanaweza kuhatarisha ndoa..teh!
 
Last edited by a moderator:
Ha haaa afu limekupendezea hilo jina

Hata mi nimelipenda sana kwa kweli.

Unajua hilo jina lilikuwa moja ya IDs zangu mwaka 2011 halafu baadaye mods wakaja kuliunganisha na jina la NN.

Nilikuwa hadi nishasahau. Lakini kwa vile limerudi tena, acha tu nilitumie.

Umeni-google lakini? Hebu nigoogle uone profile yangu bana teh teh teh....

Mtu wa Uganda mimi. Msukuma wa Uganda
 
Hehe..hiyo haiondoi ukweli kuwa The Boss anakufaham. Na ukicheza kidogo hata ndoa yako itakuwa matatani, nasikia eti vidume wa humu wanaweza kuhatarisha ndoa..teh!

kwi kwi kwi...hujasikia Nyerere alipomtilia shaka mtu kuwa he is about kubadili kabila...hakuna kisichowezekana chini ya jua...
Ndoa yangu haiyumbishwi na internet....
Imeshavuka hayo mawimbi
 
Hata mi nimelipenda sana kwa kweli.

Unajua hilo jina lilikuwa moja ya IDs zangu mwaka 2011 halafu baadaye mods wakaja kuliunganisha na jina la NN.

Nilikuwa hadi nishasahau. Lakini kwa vile limerudi tena, acha tu nilitumie.

Umeni-google lakini? Hebu nigoogle uone profile yangu bana teh teh teh....

Mtu wa Uganda mimi. Msukuma wa Uganda

Ngoja nikugugo nione... Ila nikikumbuka nacheka kama mwehu. Watu wabaya tehe

Au umeiba mke wamtu nini bebi? Tuambizane bana
 
Si big deal kwa big house...tunavulia madaktari tusowajua....

Hawa madaktari wa magonjwa ya kina mama Mungu awabariki tu, maana kufunuo nyuchi za wanawake kila uchao na nyingine zina shepu mbaya kwa kweli tuwape hongera.
 
Back
Top Bottom