Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
Nimeona picha za jay z akiwa bongo,hivi amewahi kupafomu bongo??? Mimi nimekuja mjini kutoka kolomije jana tu ,msinitukane jamani
Hapana?Jibu ni hapana mkuu, unaogopwa sana kutukana eeh???
Alishawahi Mimi nilikuwepo ,ilikuwa diamond Jubilee.Kama sikosei ilikuwa 2005/6.Alikuja na Beyonce .Beyonce haku perform!
Ndio alishafika sasa.Hawezi kuja kwenye nchi za SHITHOLES
umenifurahisha sana mkuu!Aliwahi kukiwasha pale Diamond mkuu!! Mie nakumbuka niliingia ukumbini saa 5 asubuhi na mkate wangu mkononi, sikutoka nje tena mpka show ilipoanza usiku mkubwa! Nakumbuka pia nilikuwa ni mmoja kati ya walioshikana mkono na Jay Z wakati akipanda jukwaani!! Nilikuwa mdogo bado na Jigga alivutiwa na mm baada ya kuniona nimepiga T-shirt yenye picha yake na Beyonce na nikiwa na bango pia lenye picha yake tulogawiwa na watu wa Clouds fm!!
Sent from my HTC Desire EYE using JamiiForums mobile app