Pafyum JF-Expert Member Feb 7, 2012 208 112 Feb 12, 2012 #1 hiv jamana Jairo yuko wp saiz? manaake tuliskia kapewa likizo kupsha uchunguz na baadae akateuliwa katibu mkuu mwngne but hatujui Jairo yuko wp!
hiv jamana Jairo yuko wp saiz? manaake tuliskia kapewa likizo kupsha uchunguz na baadae akateuliwa katibu mkuu mwngne but hatujui Jairo yuko wp!
TUMBIRI JF-Expert Member May 7, 2011 1,933 1,199 Feb 12, 2012 #2 Mme wa Mke wangu said: hiv jamana Jairo yuko wp saiz? manaake tuliskia kapewa likizo kupsha uchunguz na baadae akateuliwa katibu mkuu mwngne but hatujui Jairo yuko wp! Click to expand... Yupo na Blandina Nyoni uswahili wanataka kuanzisha SACOSS
Mme wa Mke wangu said: hiv jamana Jairo yuko wp saiz? manaake tuliskia kapewa likizo kupsha uchunguz na baadae akateuliwa katibu mkuu mwngne but hatujui Jairo yuko wp! Click to expand... Yupo na Blandina Nyoni uswahili wanataka kuanzisha SACOSS
K kiparah JF-Expert Member Sep 7, 2010 1,173 114 Feb 12, 2012 #3 Juzi nilimuona Tandika anaelekea Kigamboni!
RasJah JF-Expert Member Nov 5, 2009 703 64 Feb 12, 2012 #4 Yuko iringa.. Juzi tulikutana dukani ananunua mbolea ya kupandia
Muke Ya Muzungu JF-Expert Member Jun 17, 2009 3,444 264 Feb 12, 2012 #5 Bigbro said: Juzi nilimuona Tandika anaelekea Kigamboni! Click to expand... Jairo kaenda UK kwa miezi 2 sasa. pengine alichoshwa na stress za mujini
Bigbro said: Juzi nilimuona Tandika anaelekea Kigamboni! Click to expand... Jairo kaenda UK kwa miezi 2 sasa. pengine alichoshwa na stress za mujini
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,781 Feb 12, 2012 #6 Alistaafu kwa mujibu wa sheria na kanuni za utumishi wa umma. Vipi, unataka kumpa dili?
Daffi Jr JF-Expert Member Jun 25, 2011 3,825 906 Feb 12, 2012 #8 Anatanua kitaa na vimwana!wanatumia vizuri zile hela walizokusanya/iba.
nitonye JF-Expert Member Dec 18, 2011 7,273 3,750 Feb 12, 2012 #9 Mada ni nzuri lakini unatupa taabu kutamka hiyo ID yako sisi wenye wake
King2 JF-Expert Member Nov 16, 2011 1,277 181 Feb 12, 2012 #10 Amechukua kizimba pale mchikichini, anauza mitumba
S Sam Upendo Member Jan 22, 2012 32 10 Feb 12, 2012 #11 Anasubiri kuteiliwa na JK kuwa Barozi wa Tz Ncini Uswiss
S Sam Upendo Member Jan 22, 2012 32 10 Feb 12, 2012 #12 Anasubiri kuteuliwa na JK kuwa Barozi wa TZ nchini Uswiss
Ziltan JF-Expert Member Aug 20, 2011 2,649 6,832 Feb 12, 2012 #13 (Jairo) Unataka kunipa kazi? Nisaidie ntaku pm au nipigie kwenye 0755098159