Hivi ipi simu bomba kati ya techno L9 na techno K7

Hivi ipi simu bomba kati ya techno L9 na techno K7

Sasa si ungesoma vizuri kabla ya kunizodoa.

Mtu kasema L9 na mimi nimetaja L9 wewe unataja L9+

Kwani kuna L9 plain mkuu sijui kama ipo hiyo na hata kama ipo still mtoa mada itakuwa kamaanisha L9+ maana kuindika + nayo uvivu kwasababu ndio iko kwenye copetition na K7.
 
Nimetumia L9 KARIBU mwaka mzima haina tatizo kabisa ishaanguka zaidi ya mara 20 still iko ngangari hii simu na betri bado ina uhai wa nguvu

Though nataka kuhamia brand zingine hii itabaki kwa kazi ngumu ngumu

Pia L9 inamuonekano wa kijanja sana
 
455c9c82-e455-4163-af0b-91fe9979b0a6.jpg
61af1f70-466e-494d-8c25-95cf0ae0c4a1.jpg
 
Back
Top Bottom