Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,020
- 2,600
Habari wapendwa husika na mada hapo juu baada ya kutumia Vodafone 200 kwa muda mrefu sasa Niko tena sokoni kuangalia simu yenye uwezo sasa nauliza IPI iko vizuri kati teknoL9 na teknok7
hebu kuwa makini BC toa ushauri alaaaaukikompea samsang na aifone nistue
acha dharau bn kuwa makini au pita kushoto mfyuuuuHivi Iphone na Samsung comment ni hapahapa
CIO hapa kwenye airtel shopWenye aitel tunaandika hapahapa?
Chukua l9 bro hiyo k7 unatafuta matatizoHabari wapendwa husika na mada hapo juu baada ya kutumia Vodafone 200 kwa muda mrefu sasa Niko tena sokoni kuangalia simu yenye uwezo sasa nauliza IPI iko vizuri kati teknoL9 na teknok7
aisee, sio kwamba zote anatafuta matatizo. maana zote ni techinoChukua l9 bro hiyo k7 unatafuta matatizo
Kama haujali muonekano na shida yako ni chaji ya kudumu chukua L9.Habari wapendwa husika na mada hapo juu baada ya kutumia Vodafone 200 kwa muda mrefu sasa Niko tena sokoni kuangalia simu yenye uwezo sasa nauliza IPI iko vizuri kati teknoL9 na teknok7
wewe ni KE au ME?acha dharau bn kuwa makini au pita kushoto mfyuuuu
nimeuliza tu lakiniacha dharau bn kuwa makini au pita kushoto mfyuuuu
worry nat kuuliza c ujinganimeuliza tu lakini
thanks bro nitaleta mrejeshoooKama haujali muonekano na shida yako ni chaji ya kudumu chukua L9.
K7 ina muonekano wa kisasa ila haina 4G na chaji yake ukiilinganisha na L9, K7 inatoka KO.
Faida ya K7 ni fingerprint na muonekano. Ukitoa hapo K7 na K9 selfie zake ni za timing haswa kwenye swala la mwanga la sivyo zitakuboa.
Sikumbuki ubora wa kamera ya mbele wa L9 ila kwa kamera ya nyuma wanakaribiana sana.
Ukinunua K7 utakua yeboyebo, watu kibao wanazo.
nakubali xana tekno mkuuaisee, sio kwamba zote anatafuta matatizo. maana zote ni techino
tuwe serious kdg mkuuwewe ni KE au ME?
kama ni KE, sishangai na uo mfyonyo!
Kama haujali muonekano na shida yako ni chaji ya kudumu chukua L9.
K7 ina muonekano wa kisasa ila haina 4G na chaji yake ukiilinganisha na L9, K7 inatoka KO.
Faida ya K7 ni fingerprint na muonekano. Ukitoa hapo K7 na K9 selfie zake ni za timing haswa kwenye swala la mwanga la sivyo zitakuboa.
Sikumbuki ubora wa kamera ya mbele wa L9 ila kwa kamera ya nyuma wanakaribiana sana.
Ukinunua K7 utakua yeboyebo, watu kibao wanazo.
sawa mkuuMkuu hivi unaijua L9+ vizuri binafsi napenda vitu vizuri na muonekano mzuri maishani mwangu kwa appearance tu hakuna simu yoyote inayoikuta L9+, ina wide screen hata kama unasoma document unaenjoy, kioo ukizima then umeiwekea kava inakuwa na appearance nyeusi inavutia sio poa, ukivua kava nyembamba inayereza siopoa.
katika tecno zote nilizowai tumia L9+ aijawai stack, betri ndio usiseme linasavavivu.
Mkuu chukua L9+ nakushauli.
Sasa si ungesoma vizuri kabla ya kunizodoa.Mkuu hivi unaijua L9+ vizuri binafsi napenda vitu vizuri na muonekano mzuri maishani mwangu kwa appearance tu hakuna simu yoyote inayoikuta L9+, ina wide screen hata kama unasoma document unaenjoy, kioo ukizima then umeiwekea kava inakuwa na appearance nyeusi inavutia sio poa, ukivua kava nyembamba inayereza siopoa, camera ipo timamu.
katika tecno zote nilizowai tumia L9+ aijawai stack, betri ndio usiseme linasavavivu.
Mkuu chukua L9+ nakushauli.
ndio nayoitumia hapa