_ID
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,408
- 7,404
Sema mwaka huu tunatoboaaaa" aggrey mwandi Tabora 2018Kwahiyo ndoa yako inawekwa vikao na wazazi wako?
Kwahiyo mkiachana watoto wenu ndo watakuwa wakwanza dunia kuwa na wazazi waliotengana?
Ndoa ni ya mwanamke mzee yaani ukiona mwanamke haeshimu ndoa ujue imekufa Aki fit kwenye kuachwa usifikirie mara mbili HAMNA cha kikao wala nini unatuma meseji kwa wazaZi wake tu jamani furushi lenu litakuja na bus la new force lipokeeni.Familia yako unawaambia tu,wale muhimu huyu sio mke wangu tena Tutalea nae watoto Sitaki discussion wala ushauri.
Ukishindwa hiyo telekeza tu huyo mwanamke mtoto peleka kwa bibi yake,wewe tafuta mwanamke mwingine.
Usicheke na mwanamke mpumbavu otherwise hutoboi hata miaka 50 unakufa,waliojaribu kuvumilia mwanamke mpumbavu wengi wao hawajafika miaka50 na waiofika wengi wana magonjwa ya moyo,presha na msongo wa mawazo.Unadhani Mungu alikosea kuweka wanwake wengi wanaume wachache???Alijua ni muhimu kuchagua aliyebora zaidi vinginevyo hutoboi.