hahaha wewe usidanganyike...mapenzi ata siku moja hayaanzi kwa maudhi always full shangwe na macare ya kufa mtuu...just jaribu kukumbuka wen husband mlivyoaanza nae...siajabu ulijikuta wasema haya haya maneno. hivyo basi nenda kwa mume wako mbembeleze mtekenye mpe love za ukweli mwambie mkumbushie yale mambo mliokuwa mnafanya wakati ndio kwanza penzi limewaka moto and all will be well....linda ndoa...nothing good has ever come out of extra marital affairs!!!!