Hivi inakuwaje wadada wengi mnachagua wanaume lakini mnakesha kuomba mume mwema?

lakini jamani unajua mwanaume ni mwanaume ila shida ni kwamba hiyo selections mnayoitaka mfano mwanaume mwenye hela zake, mwanaume mwenye nyumba kali, mwanaume ambae ana kautajiri ndio kinachowaogopesha wakaka wengi wenye kipato kidogo
Tena ni tatizo kubwa mtu hafikirii namna ya kuongeza huo utajiri au Mali anakuja tu na fikra zake za namna ya kuumaliza huo utajiri au mali.
 
Nimekunywa koka ya 500 mkuu.
Ni aibu ila hiki kitu nilijifunza kwa dada yangu, kuna kipindi nilienda kufanya field mahali fulani nikawa naishi kwake. Nyumba ya vyumba vitatu na sebule, jiko na stoo na fensi ni kubwa sana so naturally stori hizi zikaja nikachukua somo.
mimi ninavyoona hii ilikuwa ni miaka ya zamani
 
So Kama ndio ivo...kuna rangi hapo zitakua zinatengwa na maumbile Fulani yatakua hayapewi kipaumbele.... Game imetoka draw 0-0
Lakini ukilinganisha na wanawake wana vigezo vingi utasikia kipato, elimu, kabila, mrefu, mwenye hofu ya mungu,mpole, mcheshi, n.k
 
Wanawake wengi wanapofikia hatatua ya kutafuta mwenzi wa maisha, huongozwa na hisia zaidi na Hali halisi ya maisha anayoishi,ama anayotamani kuishi
Mwisho wanajikuta wakienda nje ya lengo.
hii ilikuwa ni zamani enzi za mababu zetu siku hizi bana mi nilichokiona wadada wengi wanaangalia mwanaume mwenye pesa kama huna pesa wewe ni mwanaume suruali
 
hata sijui
Unajua sana! Priority ya mwanamke ni security & protection full stop! Ndivyo walivyoumbwa wala huwezi kuwalaumu!
Wengi wanataka 1. financial 2. physical security 3. Social security ( Mwanamume mchangamfu na mcheshi na anayejiamini). Akiwa ni mcha Mungu wa dhati, priority ya kwanza ni spiritual security halafu ndo inafuata financial security, physical security na social security!
Kama kuna wanaume wawili wanalingana kwa kila kitu, lakini mmoja ni baunsa na mwingine ni mwepesi mwepesi, hapo baunsa atabeba mzigo!
Lakini kama yule mwepesi ni milionea lakini baunsa ni mbangaizaji, hapo kijana mwepesi lakini mwenye pochi iliyoshiba atabeba mzigo maana first priority ni financial security.
Kwa wanawake sura na uzuri wa mwanamume havina tija kabisa! Ndivyo walivyo!
 
Tena ni tatizo kubwa mtu hafikirii namna ya kuongeza huo utajiri au Mali anakuja tu na fikra zake za namna ya kuumaliza huo utajiri au mali.
exactly uko sahihi ila miaka ya zamani watu walipendana kweli bila kuangalia utajiri
 
b89eb571b7f7c291a573c783910f66a3.jpg
 
Unajua sana! Priority ya mwanamke ni security & protection full stop! Ndivyo walivyoumbwa wala huwezi kuwalaumu!
Wengi wanataka 1. financial 2. physical security 3. Social security ( Mwanamume mchangamfu na mcheshi na anayejiamini). Akiwa ni mcha Mungu wa dhati, priority ya kwanza ni spiritual security halafu ndo inafuata financial security, physical security na social security!
Kama kuna wanaume wawili wanalingana kwa kila kitu, lakini mmoja ni baunsa na mwingine ni mwepesi mwepesi, hapo baunsa atabeba mzigo!
Lakini kama yule mwepesi ni milionea lakini baunsa ni mbangaizaji, hapo kijana mwepesi lakini mwenye pochi iliyoshiba atabeba mzigo maana first priority ni financial security.
Kwa wanawake sura na uzuri wa mwanamume havina tija kabisa! Ndivyo walivyo!
amina financially hapo safi
 
na kadri wanavozidi kuchagua wanaume na muda nao unaenda mwishowe wanajikuta wameshazeeka.....ni rahisi mwanaume wa miaka 90 kuoa binti wa miaka 19....ila ni kazi saaaana kwa binti wa miaka 35 kuolewa na mwanaume wa miaka 25
angalia gape,mwanaume(gape 71 years)
mwanamke (gape 10 years) japokuwa kuchagua ni kupanga
sasa we dada unayechagua endelea kuchagua alafu ujikute umekuwa AJUZA
 
Wanaume wengi huwa wanawalaumu wanawake kwa kuchagua mume kwa kigezo cha uwezo wa kifedha. Wanakosea sana! Mwanamke asiyeangalia uwezo wa mume kuweza kumtunza huyo ni mwanamke asiyekuwa wa kawaida! Asili ya mwanamke kamili ni utegemezi! Hata kama ana uwezo wa kifedha bado pesa anayopewa na mume ni tamu sana kuliko ile aliyotafuta mwenyewe! Akipewa anajisikia kuwa ni mwanamke mkamilifu, anajisikia kupendwa! Wanaume wenye wake wenye pesa mara nyingi hujisahau katika hili! Na hii humfanya mke ajisikie vibaya, si kwa kuwa ni mhitaji wa pesa, lakini ni mhitaji sana wa pesa kutoka kwa mume wake!
 
Lakini ukilinganisha na wanawake wana vigezo vingi utasikia kipato, elimu, kabila, mrefu, mwenye hofu ya mungu,mpole, mcheshi, n.k
Naona unaelekea upande wa kua wanawake wanademand nyingi kuliko wanaume..kwa mtazamo wangu naona bcz Ni ngumu kucontrol baadhi ya vitu kwa mwanaume ndio maana.... Lakini kwa mwanaume hua inakuaga rahisi...aki command kitu kinaenda sawia
 
Alafu sasa ukimuona huyo demu anayechagua wanaume utashangaaa sura yake infanana na hao hao wanaume.Ni sheeeeeda
 
Sasa kwanini tusichague labda.. mbona nyie mnatuchagua sisi wenye neema za Allah Mnawaacha flat screen :D:D:D:Dkuchagua ni kitu ingine na kuombewa sijui mume mwema ni kitu ingine babu upoo??
 
Yani akikukuta una kitanda tu hakuelewi na unakuwa umedisqualify. Wa nataka akukute na nyumba, nzuri,gari, unesoma,una miradi,handsome, uwe vizuri kitandani etc.Aisee hawajui haya yote wanatakiwa wayajenge kuanzia chini kuelekea juu.
 
Watapigwa tu hakuna nmna, wacha nikapige cha fasta kazungu kamoja pale kuna watoto watamu eti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom