Hivi ili uwe RC unatakiwa kuwa na Elimu kiwango gani?

BigBaba

JF-Expert Member
Feb 7, 2017
1,909
9,038
Wakuu nimekaa najiuliza sana kutokana na Sakata linaloendelea,

1.Swali ili uwe mkuu wa mkoa yakupasa kuwa na Elimu kiwango gani?

2. Nafasi ya mkuu wa mkoa inasomewa au ni yakuteuliwa tu kwa utashi wa kiongozi aliye madarakani kuona kwamba huyu mtu atanisaidia kwenye 1,2,3

3. Kwanini watz tunapiga Sana kelele kuhusu Elimu ya Mheshimiwa Makonda huku tukijua ni nafasi ya kuteuliwa?

4. Ukaguzi wa vyeti fake ulikuwa unalenga wafanyakazi wa namna gani?

5. Hivi ni kweli watz hatuna shughuli ya kufanya kabisa?

Naomba mwenye uelewa anijuze nipate kuelewa naomba kuwasilisha.
NB: mods nawaona tu...
c41e1ed15b23f2f87a68886f753d6bcd.jpg


Anayedaiwa kwamba cheti chake ndio anatumia Makonda afunguka
 
Wakuu nimekaa najiuliza sana kutokana na Sakata linaloendelea,

1.Swali ili uwe mkuu wa mkoa yakupasa kuwa na Elimu kiwango gani?

2. Nafasi ya mkuu wa mkoa inasomewa au ni yakuteuliwa tu kwa utashi wa kiongozi aliye madarakani kuona kwamba huyu mtu atanisaidia kwenye 1,2,3

3. Kwanini watz tunapiga Sana kelele kuhusu Elimu ya Mheshimiwa Makonda huku tukijua ni nafasi ya kuteuliwa?

4. Ukaguzi wa vyeti fake ulikuwa unalenga wafanyakazi wa namna gani?

5. Hivi ni kweli watz hatuna shughuli ya kufanya kabisa?

Naomba mwenye uelewa anijuze nipate kuelewa naomba kuwasilisha.
NB: mods nawaona tu...
Usijitoe ufahamu mkuu!!Unakumbuka uhakiki wa vyeti ulifanyika kitaifa?Sasa ulikuwa unafanyika kwa nia ipi?Cheti feki ni kosa la jinai mkuu na inatakiwa upigwe marufuku sana.Una hakiki watu wewe usihakikiwe?Mbona rais alihakiki silaha yake?Maajabu ya Watanzani...................Rais wangu watoto wengi wa maskini kipindi cha uhakiki wa vyeti zaidi ya 17000 walikutwa na wakawajibishwa(naamini hatua zilichukuliwa) Rais wet tenda haki tu
 
RC anaweza kuwa hata darasa la 7 tu ila asiwe anatumia cheti cha kununua.

Tatizo lipo kwenye cheti cha kununua ili uendelee na elimu ya juu.

Wakuu nimekaa najiuliza sana kutokana na Sakata linaloendelea,

1.Swali ili uwe mkuu wa mkoa yakupasa kuwa na Elimu kiwango gani?

2. Nafasi ya mkuu wa mkoa inasomewa au ni yakuteuliwa tu kwa utashi wa kiongozi aliye madarakani kuona kwamba huyu mtu atanisaidia kwenye 1,2,3

3. Kwanini watz tunapiga Sana kelele kuhusu Elimu ya Mheshimiwa Makonda huku tukijua ni nafasi ya kuteuliwa?

4. Ukaguzi wa vyeti fake ulikuwa unalenga wafanyakazi wa namna gani?

5. Hivi ni kweli watz hatuna shughuli ya kufanya kabisa?

Naomba mwenye uelewa anijuze nipate kuelewa naomba kuwasilisha.
NB: mods nawaona tu...
c41e1ed15b23f2f87a68886f753d6bcd.jpg
 
Wakuu nimekaa najiuliza sana kutokana na Sakata linaloendelea,

1.Swali ili uwe mkuu wa mkoa yakupasa kuwa na Elimu kiwango gani?

2. Nafasi ya mkuu wa mkoa inasomewa au ni yakuteuliwa tu kwa utashi wa kiongozi aliye madarakani kuona kwamba huyu mtu atanisaidia kwenye 1,2,3

3. Kwanini watz tunapiga Sana kelele kuhusu Elimu ya Mheshimiwa Makonda huku tukijua ni nafasi ya kuteuliwa?

4. Ukaguzi wa vyeti fake ulikuwa unalenga wafanyakazi wa namna gani?

5. Hivi ni kweli watz hatuna shughuli ya kufanya kabisa?

Naomba mwenye uelewa anijuze nipate kuelewa naomba kuwasilisha.
NB: mods nawaona tu...
c41e1ed15b23f2f87a68886f753d6bcd.jpg
Mkuu tatzo sio elimu, tatizo ni makandokando.
 
Wakuu nimekaa najiuliza sana kutokana na Sakata linaloendelea,

1.Swali ili uwe mkuu wa mkoa yakupasa kuwa na Elimu kiwango gani?

2. Nafasi ya mkuu wa mkoa inasomewa au ni yakuteuliwa tu kwa utashi wa kiongozi aliye madarakani kuona kwamba huyu mtu atanisaidia kwenye 1,2,3

3. Kwanini watz tunapiga Sana kelele kuhusu Elimu ya Mheshimiwa Makonda huku tukijua ni nafasi ya kuteuliwa?

4. Ukaguzi wa vyeti fake ulikuwa unalenga wafanyakazi wa namna gani?

5. Hivi ni kweli watz hatuna shughuli ya kufanya kabisa?

Naomba mwenye uelewa anijuze nipate kuelewa naomba kuwasilisha.
NB: mods nawaona tu...
c41e1ed15b23f2f87a68886f753d6bcd.jpg


Hata darasa la 7 ila awe na tabia na maadili mema kwa jamii. Na asiwe amafaoji au kununua vyeti, awe mkweli na muadilifu.
 
Usijitoe ufahamu mkuu!!Unakumbuka uhakiki wa vyeti ulifanyika kitaifa?Sasa ulikuwa unafanyika kwa nia ipi?Cheti feki ni kosa la jinai mkuu na inatakiwa upigwe marufuku sana.Una hakiki watu wewe usihakikiwe?Mbona rais alihakiki silaha yake?Maajabu ya Watanzani...................Rais wangu watoto wengi wa maskini kipindi cha uhakiki wa vyeti zaidi ya 17000 walikutwa na wakawajibishwa(naamini hatua zilichukuliwa) Rais wet tenda haki tu
Mkuu kama sijaelewa tofauti Jamaa hana Cheti fake.
 
Back
Top Bottom