Msukuma Original
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 928
- 3,330
Hivi ikitokea uchaguzi wa 2020 rais tuliyenaye akapigwa chini, nini itakuwa hatma ya hii miradi ya SGR and the like. Au kuna sheria inayomlazimisha successor wake aiendeleze? Najaribu kuwaza kwa sauti.