Goldman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 1,930
- 2,397
Ni ' Mpumbavu Mwandamizi ' tu pekee ndiyo anahisi au anadhani Rais Dkt. Magufuli hawezi Kuendelea na Kumalizia Muhula wake kwa mwaka 2020 hadi 2025.
Huu utukufu wa Ww kuwa rafiki yake Mungu? Mmeutoa wapi? Huwa anakwambia yatayojiri? Kwa hiyo huyo hata kufa hafi?