Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,316
- 8,013
Heshima kwenu wanasheria. Ninapanga kwenda kupima DNA first born wangu sababu kadri anavyokuwa mkubwa ndo anaonyesha kabisa si mwanangu maana hafanani na mimi wala mama yake, pia hafanani hata na watoto wa kaka zangu, tumezaa mtoto wa 2 wa kike huyu anafanana na watoto wote wa ukoo yaan familia yetu. Na hii huwa ipo hivo watoto wetu wote wanafanana hasa wa kaka zangu na anafanan na mimi kila kitu.
Nimemlea huyu mtoto hadi sasa ana miaka 14. Ninachouliza nawezakwenda kupima DNA bila mama wala mtoto kufahamu
Na kama ikibainika sio wangu najua hakutakuwa na ndoa tena Je, naweza kudai fidia kwa mama yake?
Ikumbukwe mtoto huyu alizaliwa kabla ya kuoana na kila mtu alikuwa mkoa tofauti mm dar yy dom
Nimemlea huyu mtoto hadi sasa ana miaka 14. Ninachouliza nawezakwenda kupima DNA bila mama wala mtoto kufahamu
Na kama ikibainika sio wangu najua hakutakuwa na ndoa tena Je, naweza kudai fidia kwa mama yake?
Ikumbukwe mtoto huyu alizaliwa kabla ya kuoana na kila mtu alikuwa mkoa tofauti mm dar yy dom