jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,706
- 7,597
Mtu anae kuambia kitanda hakizai haramu,anakuongopea huku nyuma anakucheka!!Kama Mtoto umepigwa,hiyo haina ubishi,Chukua majibu ya Mkemia Kama wwe mwenyewe ulisimamia sampuri zote zilizokwenda kwa Mkemia! Usichukuwe majibu ya watu wanao sema kitanda hakizai haramu!!