Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,849
Huyu mtoto ana miaka 10 hamjui baba mwingine zaidi yangu, na nilikuwa najua ni mwanangu na nikawa naringa naye sana ila mwisho wa siku mama yake alijiroposha siyo wangu, nikasema sitaki kuchezewa akili acha nikapime DNA nijue moja.
Je, utachukua uamuzi gani kama mwanaume yakikukuta majibu kama haya?
Je, utachukua uamuzi gani kama mwanaume yakikukuta majibu kama haya?